BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Waafrika tunapenda sana kujipendekeza, hata tusipotakiwa, Argentina ndio nchi pekee America ya Kusini iliowafuta kwa kuwaua watu weusi ili wasiharibu damu yao.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrika kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.
Ndio maana hata timu yao ya Taifa huwezi kuta mtu mweusi tofauti na timu zingine zote za America ya kusini, na kumbuka America ya kusini ndio ilikuwa kitovu cha Waafrika kutoka Africa.
Sasa Waafrica tunavyopenda kujipendekeza eti mimi timu Argentina huu ni ujinga na upuuzi mkubwa sana yaani wao wanaona Waafrika kama nyani lakini nyie mko bise kuwakumbatia.
Ni sawa na wale wanaojipendekeza kwa Israeli wakati Israeli kwanza ina Wakrsto wachache sana na pili haina time na Waafrika kabisa.
Waafrika tuache upuuzi.