Waachakachuaji wa thread ya Kitty Galore

Waachakachuaji wa thread ya Kitty Galore

Juzi ulisema unapenda sana. Kila siku lazima upate dozi mara tatu ukantishia kuila na kuimaliza yangu. Nakuogopa mimi.

hahahaha! Nilikuona umefurahi. Lol, mi mwenyewe nakuogopa.
 
mmeanza tena...ule uzi siku ile mlifanya ukaondolewa

nyani mchokozi, mi ndio maana siku ile nilikimbia. Leo ameanza tena uchokozi wake. Lol
 
Halafu kwa nini ulinidanganya utanifundisha log mpaka leo holaa?

log nitakufundisha, sema lini una muda. Halafu hesabu za maumbo unazijua wewe? Unaweza kucalculate area ya koni?
 
Najua sakanferensi....

Unataka kukalukyuleti koni yangu?

hapana, nitakuja na koni ya judgement. Utatumia hiyo kama mfano. Nikishakufundisha utakalkuleti ya kwako mwenyewe. Sawa student?
 
Back
Top Bottom