Kila jambo Raisi anaona,raisi utahusika na maneno kibao tu ,Hivi hakuna wakuu wa wilaya mikoa mawaziri wapolisi mpaka Mnathubutu kumvaa Raisi ?
Mlipita kwa mkuu wa wilaya,au Mkuu wa Mkoa au vituo vya pilisi na ngazi zake zote hata mnaenda kugonga Ikulu ?
Basi ngazi zote zivunjwe abakie Raisi peke yake maana watanzania tunaona Raisi ndio kila kitu.
Jaribuni kupita ngazi zote au kulaumu ndazi zote hatua bada ya hatua na ionekane kama mnavyo kisakama Cheo cha Rais ,ndio anzeni huko huko ngazi za chini.
Tumeona kule Zanzibar ACT wazalendo wameachana na Rais na wameanza kuwapeleka mahakamani hawahawa vibaraka wa CCM walio ngazi za chini ,ambao hutumika kuwatesa wananchi ,Chama cha ACT ,kimetoa onyo kuwa sasa kitamshitaki mmoja mmoja anaejifanya yeye ndie nkuu wa wilaya,wamkoa polisi jeshi raisi makamu ,mtu ambae anajivisha vyeo vyote hivyo , kwa kuwa tu CCM ipo madarakani, hivyo mkakati liCCM litakalo jifanya kiranya na kuvunja sheria ,atashitakiwa peke yake ,yeye kama yeye.
Mbona CCM sasa wameanza kukimbiana, atakevunja sheria kama ataweza kupambana mahakani yeye kama yeye basi amekaribishwa kwenye siasa za Zanzibar ,hakushitakiwi tena taasisi anashitakiwa mtu anaejifanya kimberembere.
Raisi hawezi kumtetea mtu mmoja mmoja mahakamani maana anowengi wanaohitaji nafasi za ccm au serikali ,hivyo ukishitakiwa peke yako ujue imekula kwao, na mawakili wa siku hizi walivyokuwa wakorofi .
Viongozi huku Tanganyika tuachezi kumsakama Cheo cha Raisi tuanza nao huku huku ngazi za chini na mtaona mabadiliko , mkuu wa wilaya au mkoa au Mwanaccm anashitakiwa yeye kama yeye na sio cheo alichonacho.
Mlipita kwa mkuu wa wilaya,au Mkuu wa Mkoa au vituo vya pilisi na ngazi zake zote hata mnaenda kugonga Ikulu ?
Basi ngazi zote zivunjwe abakie Raisi peke yake maana watanzania tunaona Raisi ndio kila kitu.
Jaribuni kupita ngazi zote au kulaumu ndazi zote hatua bada ya hatua na ionekane kama mnavyo kisakama Cheo cha Rais ,ndio anzeni huko huko ngazi za chini.
Tumeona kule Zanzibar ACT wazalendo wameachana na Rais na wameanza kuwapeleka mahakamani hawahawa vibaraka wa CCM walio ngazi za chini ,ambao hutumika kuwatesa wananchi ,Chama cha ACT ,kimetoa onyo kuwa sasa kitamshitaki mmoja mmoja anaejifanya yeye ndie nkuu wa wilaya,wamkoa polisi jeshi raisi makamu ,mtu ambae anajivisha vyeo vyote hivyo , kwa kuwa tu CCM ipo madarakani, hivyo mkakati liCCM litakalo jifanya kiranya na kuvunja sheria ,atashitakiwa peke yake ,yeye kama yeye.
Mbona CCM sasa wameanza kukimbiana, atakevunja sheria kama ataweza kupambana mahakani yeye kama yeye basi amekaribishwa kwenye siasa za Zanzibar ,hakushitakiwi tena taasisi anashitakiwa mtu anaejifanya kimberembere.
Raisi hawezi kumtetea mtu mmoja mmoja mahakamani maana anowengi wanaohitaji nafasi za ccm au serikali ,hivyo ukishitakiwa peke yako ujue imekula kwao, na mawakili wa siku hizi walivyokuwa wakorofi .
Viongozi huku Tanganyika tuachezi kumsakama Cheo cha Raisi tuanza nao huku huku ngazi za chini na mtaona mabadiliko , mkuu wa wilaya au mkoa au Mwanaccm anashitakiwa yeye kama yeye na sio cheo alichonacho.