Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,206
- 5,198
Bustani ya Eden ndio tunda likaliwa kimasihara baada ya nyoka kuonyesha nguvu ya ushawishiMuumba akampa Adamu mke baada ya kuona amekaa haki ya upweke katika bustani ya Eden
Bustani ya Eden ndio tunda likaliwa kimasihara baada ya nyoka kuonyesha nguvu ya ushawishiMuumba akampa Adamu mke baada ya kuona amekaa haki ya upweke katika bustani ya Eden
Ushawishi wake ulimfanya hadi Hawa akaanguka makosani na kumfanya Adamu naye akosee kwa kula tundaBustani ya Eden ndio tunda likaliwa kimasihara baada ya nyoka kuonyesha nguvu ya ushawishi
Kula tunda kimasiharaUshawishi wake ulimfanya hadi Hawa akaanguka makosani na kumfanya Adamu naye akosee kwa kula tunda
Kimasihara kabisa sasa mambo yakaanza kuharibika na dhambi ikaingia dunianiKula tunda kimasihara
Kimasihara kabisa sasa mambo yakaanza kuharibika na dhambi ikaingia duniani
Wawili hao wakafukuzwa Bustani ya EdeniDuniani wawili wawili
Today kwa lugha yetu tunaitaje?Eden Hazard's former team beaten by Westham today
Tunaitaje sijui, hata mimi nimesahauToday kwa lugha yetu tunaitaje?
Tunaitaje sijui, hata mimi nimesahau
Usiku mwema nawe pia mkuuNimesahau kuwatakia usiku mwema
Mkuu ni cheoUsiku mwema nawe pia mkuu
Cheo ni dhamanaMkuu ni cheo
Dhamana hili neno sijawahi kulielewaCheo ni dhamana
Kulielewa kivipi, hebu funguka MkuuDhamana hili neno sijawahi kulielewa
Mkuu nilimaanisha hilo neno 'Dhamana' sijui maana yakeKulielewa kivipi, hebu funguka Mkuu
Maana yake ni pana, inategemea na mahali husika linapotumika, kwa mfano tukienda Kisheria, Dhamana ni ruhusa ya kupewa Uhuru anayoweza kupewa mtuhumiwa wa kosa fulani hivi huku uchunguzi wa kosa lake ukiendelea kusikilizwa.Mkuu nilimaanisha hilo neno 'Dhamana' sijui maana yake
Mdogo mdogo wimbo wa diamond platnumz huoMaana ya yake ni pana, inategemea na mahali husika linapotumika, kwa mfano tukienda Kisheria, Dhamana ni ruhusa ya kupewa Uhuru anayoweza kupewa mtuhumiwa wa kosa fulani hivi huku uchunguzi wa kosa lake ukiendelea kusikilizwa.
Na maana nyingine Dhamana ilitaka kufanana na neno Rehani, nikiwa na maana unaweza kuweka Mali yako yoyote, au kitu chako chochote kile kutokana na makubaliano ili kukomboa kitu fulani, au kupata huduma fulani.
Nafikiri nimejitahidi kuelezea kwa uelewa wangu huu mdogo