Machame ni sehemu ya vijiji vilivyo endelea kuliko vijiji vyote Tz. Tuna umeme miaka mingi sana wakati sehemu nyingine ambako ni makao makuu ha wilaya hawajui umeme.! Kati ya matajiri 17 Tz wawili wametoka Machame
Wana maji safi na salama karibia kila nyumba na wale wasiyo na uwezo wakuvuta maji kwenye nyumba zao wametengewa mabomba ya maji ya umma, kila kilomita 50 kuna bomba la umma
Nyumba zao wamejenga kwa mpangilio mzuri utadhani mbezi Beach n`k . Pia hawa watu wamehamasika kielimu sana.Ukiangalia waziri aliye wapatia vyote hivi ni mchaga wa machame.na ndiye aliyekuwa waziri wa kwanza wa elimu
Wana maji safi na salama karibia kila nyumba na wale wasiyo na uwezo wakuvuta maji kwenye nyumba zao wametengewa mabomba ya maji ya umma, kila kilomita 50 kuna bomba la umma
Nyumba zao wamejenga kwa mpangilio mzuri utadhani mbezi Beach n`k . Pia hawa watu wamehamasika kielimu sana.Ukiangalia waziri aliye wapatia vyote hivi ni mchaga wa machame.na ndiye aliyekuwa waziri wa kwanza wa elimu