Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,957
Taasisi zote za serikali ni rushwa tu kila kona afu leo mnataka kupinga rushwa wkt ninyi bado mnakula rushwa za mabillioni na uchafu
Mnawalipa bodaboda ili wajaze mikutano yenu hii ni rushwa au sio rushwa?
Haya mabaiskeli yenu na bodaboda zenu za October tunatiki ni rushwa au sio rushwa??
Sasa mnapiga rushwa ipi lbd?
Rushwa ni adui wa maendeleo; Chagua mgombea asiyetoa rushwa. Piga 113 kutoa taarifa za rushwa.
Mnawalipa bodaboda ili wajaze mikutano yenu hii ni rushwa au sio rushwa?
Haya mabaiskeli yenu na bodaboda zenu za October tunatiki ni rushwa au sio rushwa??
Sasa mnapiga rushwa ipi lbd?
Rushwa ni adui wa maendeleo; Chagua mgombea asiyetoa rushwa. Piga 113 kutoa taarifa za rushwa.