Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Labda inaweza kuwa exceptional ndo maana nikasema wataresolve wao.
Kuna mtu nilisoma nae na gf wale alimruhusu kudate sababu ilikuwa mbali, na sasa wameoana na wana watoto 3
Kuna mtu nilisoma nae na gf wale alimruhusu kudate sababu ilikuwa mbali, na sasa wameoana na wana watoto 3
Ndio maana nikashangaa anaomba ushauri.
Ni kiasi tu cha kujipima na kuona kama anakubaliana na hiyo hali au la.Alafu ukute mwenzake tayari alishaanza kujiridhisha zamani, . . .mahusiano yana kazi haya.