mijey
Member
- Mar 16, 2023
- 16
- 15
Mimi nataka kusomea kozi ya electrical engineering lakini nimefuatilia vyuo Niweze kuapply kwenye website zao naona application zipo za miaka ya nyuma.
Kwa yeyote anayejua muda au mambo ya kuapply naomba anitaarifu ikiwezekana naomba na ushauri kuhusu kozi hiyo ya electrical engineering kama naweza kujiajiri mwenyewe.
Kwa yeyote anayejua muda au mambo ya kuapply naomba anitaarifu ikiwezekana naomba na ushauri kuhusu kozi hiyo ya electrical engineering kama naweza kujiajiri mwenyewe.