Srebrina
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 963
- 437
Msaada jamani, nilikuwa nataka kuuliza kama kuna uwezekano wa kusoma Computer Science kwa hapa bongo katika chuo chochote kinacho tambulika lakini elimu yangu ni kidato cha nne. Je, kuna sehemu yoyote ya kuanzia kama zilivyo course nyingine mpaka uanzie Diploma?
Natanguliza shukrani sana
Natanguliza shukrani sana