Sidhani kama wana wakufunzi wa kutoa elimu inayotegemewa. Kuna chuo wanafunzi wanaingia mwaka wa pili wanajifunza siasa za udaktari/utabibu; akuna Pharmacology, wala internal medicine, pathology and the like! Sasa wanasoma nini na muda ndio hivyo unayoyoma?
Sawa na vyuo vya kilimo vya certificate na diplome, ni kulima tu! kulima, kulima kulima! Ni source ya manamba wa kulima!
Sawa na vyuo vya kilimo vya certificate na diplome, ni kulima tu! kulima, kulima kulima! Ni source ya manamba wa kulima!