msemakweli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,627
- 880
website yao haifunguki!!
Hii imekuja baada ya tcu kuanza kutuma majina ya fresher kwenye website za vyuo husika,mpaka sasa,saut,udsm,makumira na st.francis mambo yapo hadharani,kwako unaetaka kujiangalia kupitia website ya tcu utakesha na pengine hutaambulia chochote kwa website yao iko busy,ushauri ni bora ukapititia kwenye website ya chuo husika,au jamii forum kuangalia kama waungana wametupia attachment
naombeni mnisaidie wazee namba yangu ni s0745/0060/2011 jina n Salim. A. Saidi
Vp Ruaha university college (RUCo) bado hawajatoa?
Jamani nisaidien mm www.cas.tcu.go.tz haifunguki. Nifanyeje hapa nipo roho juu juu presha nyingi sana nisheeeeeeeeder.
Mpaka sasa tayari vyuo vifuatavyo vimeshatoa majina
1.archibishop mihayo tabora
2.st.joseph
3.tumaini makumira
4.stella maris mtwara
5.udsm
6.cuhas bugando
7.saut mwanza
8.st.francis
tutaendelea kujulishana kadri tutavyokuwa kuwa tukipata taarifa
help plz udsm,s2656/0044/2011