Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

Mwenye taarifa mpya kuhusu hawa jamaa wa NACTE naomba anijuze. Kwamaana mwenendo wao unakatisha tamaa..
 
Naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu selection za chuo cha mtakatifu Augustino tawi la Mbeya

Nawasilisha.
 
Mwenye taarifa mpya kuhusu hawa jamaa wa NACTE naomba anijuze. Kwamaana mwenendo wao unakatisha tamaa..
achana na nacte now wamezidiwa na kazi chakufanya we ingia kwenye kila web ya vyuo ulivoomba thn angalia kama jina lako lipo,dats how we do.... mi vyote kavu bado chuo kimoja2 na ndio ilikua first selection yangu,so don wor
 
wakat mnaaply mlikurupuka kuchagua kina UD na Mzumbe mkasahau kunavwatu wana one fresh frm skul. vipo vyuo kibao ambavyo viliainisha nafasi za watu wa diploma. rudini mkasome guide book halafu ndo mje kuilaumi nacte
 
wakuu habari zenu
naomba mtu mwenye majina ya undergraduates waiochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha mzumbe year 2014/15
nmeshayatafuta saana lkn sijafanikiwa kuyaona
 
mkuu..hebu badilisha hiyo heading.. Utatuua kwa presha
 
Wakuu naomba kujua kuhusiana na majina yaliyotolewa na st john university....ni ya st john dodoma only au na ya dar es salaam center? Au wap yanapatikana hayo ya dar kwa undergraduate?
 
Mkuu unataka watu wadondoke kwa presha nini? Maana kuna watu wameaply vyuo kama vitano alafu vinne vyote hawapo na kimebakia kimoja tu mzumbe... Hahahahahaha
 
Afu majamaa mengne bana !badilish heading kwa kwel mzumbe ndo last hope afu wana mapoz wenyw had raha
 
Back
Top Bottom