Vyuo Vikuu vijifunze kutoka Chuo Kikuu Ardhi (ARU) katika ubunifu

instanbul

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
11,383
14,197
Hayo yamesemwa na mkuu wa nchi Rais John Pombe Magufuli mbele ya wahitimu huko UDOM.

Pia kadiri ya TCU ndio chuo kikuu kinachapota waombaji wengi baada ya UDSM nchini ingawa ni kidogo kieneo.

Ila kozi za Ardhi University ni nzuri kwa maana unaweza jiajiri pia mfano Architecture, Interior design, Land survey, lmv nk.

Hongereni wana UCLAS na ARU.


Your browser is not able to display this video.
 
@moderators edit hapo na kusema vyuo vikuu vijifunze kutoka chuo kikuu Ardhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…