instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,359
- 14,089
Hayo yamesemwa na mkuu wa nchi Rais John Pombe Magufuli mbele ya wahitimu huko UDOM.
Pia kadiri ya TCU ndio chuo kikuu kinachapota waombaji wengi baada ya UDSM nchini ingawa ni kidogo kieneo.
Ila kozi za Ardhi University ni nzuri kwa maana unaweza jiajiri pia mfano Architecture, Interior design, Land survey, lmv nk.
Hongereni wana UCLAS na ARU.
Pia kadiri ya TCU ndio chuo kikuu kinachapota waombaji wengi baada ya UDSM nchini ingawa ni kidogo kieneo.
Ila kozi za Ardhi University ni nzuri kwa maana unaweza jiajiri pia mfano Architecture, Interior design, Land survey, lmv nk.
Hongereni wana UCLAS na ARU.