magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 13,283
- 31,873
aisee hivi SAUT wale ambao mpaka mwenye div IV form six analamba bachelor ya sheria wameshika namba ngapi?
Msomi kabisa unashindwa kuelewa mada inayojadiliwa hapa?
aisee hivi SAUT wale ambao mpaka mwenye div IV form six analamba bachelor ya sheria wameshika namba ngapi?
Umekurupuka Mzee,uombe radhi waudsm
aombe radhi Kikwete kwa kuingiza siasa vyuoni.waombe radhi kina Mkandara,Bana na Shivj kwa kuwa mawakala wa CCMUmekurupuka Mzee,uombe radhi waudsm
Msomi kabisa unashindwa kuelewa mada inayojadiliwa hapa?
Issue sio tarehe issue ni legitimacy ya source... hao African Economist hao huwezi ita legitimacy source kabisa...Ni muhimu uwe unaangalia tarhere ya utafiti, unaongelea 2012 wakati sie tupo 2015. Halafu naona mwengine kaleta za webomatrix ambayo huwa inaangalia matumizi ya website kwa vyuo na wala sio ubora wa chuo. cc: bagamoyo
The problem watu wanatumia 4icu.org kama source ya ubora wa vyuo wakati 4icu.org hawatoi university ranking by academic performance wakati hata duniani hao The Times Higher Education ndio wanatumika kama reference na sio 4icu. Kwa miaka miwili au mitatu iliyopita, ilikuwa angalau unaweza kuwatumia URAP - University Ranking by Academic Performance ambao data zao angalau zinakaribiana na hao The Times Higher. URAP wameiweka UDSM nafasi ya 46 na SUA ya 54! And so long UDSM haipo kwenye 30 bora za Times, then unaweza ona position huenda ikafananafanana na position waliyopo kupitia URAP.Sema statistics imekurupuka,
Nimegundua the so called wasomi hawasomi vitu muhimu,
Tafiti imerank kutokana na research zinazofanyika katika chuo husika,
Aina ya ufundishaji pia.
UDSM inalalamikiwa na wanafunzi wenyewe kwa kutokua na muongozo mzuri wa research!!
Wasomi wa TZ wako busy na siasa, UDBS ni school ya 4 Africa kwenye masuala ya Biashara
Ndugu UDSM hii hapa namba 7, 2015
http://www.4icu.org/topAfrica/
ritz Acha utoto mbowe huyu macho kumchuz division zero