sizya007
JF-Expert Member
- Sep 9, 2013
- 416
- 210
Jamani ee! Kwa jinsi ninavyosoma huu uzi nagundua kuna wanafunzi wa udsm wako humu na wanachangia kwa mihemko tu bila kufanya tafakuri ya kina
Udsm haiko katika hali nzuri na nyinyi nyote mnalijua hilo, ila kukitetea chuo chako si dhambi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli, mwanafunzi wa udsm fanya tafakari, chunguza, dadisi ni nn sababu ya hii habari ya udsm kushuka imeshika kasi?!
Angalia ni mambo mangapi katika kampasi ya udsm ambayo hayako sawa?! Chunguza wahadhili wangapi wanafanya mambo yasiyokuwa na mantiki (pro. Mbonile) wanaongea upuuzi tu lecture room au zaidi jiulize ni maprofesa wangapi ni waandishi wa tija?! Na hapa lazima uandishi na tafiti zijikite katika kutatua matatizo, udsm kuna matatizo chungu mzima mazingira tatizo, mahall ni machafu, seawage system chuo kizima ni mbovu, maabala ya computer science computer nne ndio nzima, na matatizo mengi ya nature hiyo ambayo binafsi nadhani ni matatizo ambayo katika jamii ya wasomi ambapo kuna maprofesa na wasomi wa kila namna hatukutakiwa kuyaona hayo yakiwa katika kiwango cha juu kiadi hicho.
Pili wanafunzi wa udsm ni deadshell (si wote) ila wengi ni mizigo tu, wamejikita ktk mambo yasiyokuwa na msingi (mabash badala ya midahalo ya kugonganisha fikra), mapenzi, na mambo mengine ya kipuuzi.
Kiukweli udsm pursuing of pure knowledge for both teachers and students imeshuka, na haya ndio matunda yake.
Udsm haiko katika hali nzuri na nyinyi nyote mnalijua hilo, ila kukitetea chuo chako si dhambi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli, mwanafunzi wa udsm fanya tafakari, chunguza, dadisi ni nn sababu ya hii habari ya udsm kushuka imeshika kasi?!
Angalia ni mambo mangapi katika kampasi ya udsm ambayo hayako sawa?! Chunguza wahadhili wangapi wanafanya mambo yasiyokuwa na mantiki (pro. Mbonile) wanaongea upuuzi tu lecture room au zaidi jiulize ni maprofesa wangapi ni waandishi wa tija?! Na hapa lazima uandishi na tafiti zijikite katika kutatua matatizo, udsm kuna matatizo chungu mzima mazingira tatizo, mahall ni machafu, seawage system chuo kizima ni mbovu, maabala ya computer science computer nne ndio nzima, na matatizo mengi ya nature hiyo ambayo binafsi nadhani ni matatizo ambayo katika jamii ya wasomi ambapo kuna maprofesa na wasomi wa kila namna hatukutakiwa kuyaona hayo yakiwa katika kiwango cha juu kiadi hicho.
Pili wanafunzi wa udsm ni deadshell (si wote) ila wengi ni mizigo tu, wamejikita ktk mambo yasiyokuwa na msingi (mabash badala ya midahalo ya kugonganisha fikra), mapenzi, na mambo mengine ya kipuuzi.
Kiukweli udsm pursuing of pure knowledge for both teachers and students imeshuka, na haya ndio matunda yake.