Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Vyuo na Taasisi za Elimu ya Ushirikina duniani

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,984
Reaction score
831,552
Tunaweza pia kuviita vyuo au taasisi za kichawi
Naileta mada hii maalum kwa wale wenye uelewa mdogo na wanaodhani kuwa unapotaja ushirikina au uchawi unamaanisha Africa au Tanzania tuu
Ni mara nyingi tu hapa jukwaani inapowekwa mada inayohusu uchawi au ushirikina kuna baadhi yetu hupenda kuchangia kwa post za dharau kama
-miafrika bwana ndio maana hatuendelei
-ndio maana Tanzania inaongoza kwa uchawi
-Hizo ni porojo na mambo ya kufikirika nk nk
Lakini wasilolijua ni kwamba hii elimu huko kwa wenzetu ina vyuo kabisa na Tanzania inayosifika kuongoza kwa uchawi ikiwa haina hata kimoja
1. Taasisi ya lady Zirkaya, 1450972585932.jpg
2. Baba Yaga University of magic hiki kina matawi Ukraine, Hungary, Czech Republic nk
3.Beaubatons school of magic learning France
4. Borealis school of magic leaning Canada
5. Bruxaria school of witchcraft
6. Durmstrang Institute Norway
7. Heka school of ancient magic Egypt
8.Kunlun China
9. Mahoutokoro school of magic Japan
Kwahiyo tujifunze kupambanua mambo na tusione kinachoandikwa hapa ni porojo na story za kusadikika
Wenzetu hawadharau hata kitu kimoja na wameamua kulifanyia kazi na kuweka mpaka vyuo na wamefaidika na mengi na nchi inaingiza mapato kupitia kwayo
 
Mshana jr!.

Vitendea kazi baadhi hivi hapa 1450979060060.jpg 1450979080968.jpg 1450979099617.jpg 1450979109997.jpg kwahiyo wakati sisi tukibezana huku na kupigana vijembe wenzetu wanatumia Fursa kwa kuboresha zaidi huku wakitangaza bidhaa zao na huduma kwa uwazi
 
Tui promote ghamboshi inaweza kututoa mrithi kama penye karata.
 
'TUKO' mbioni kuanzisha kimoja lakini hatujapata vibali bado tuko kwenye mchakato

Hii mada yako si ngeni kuna wahusika flani washawahi kuileta kwenye media flani hivi miaka ya 2004 Sijui nao waliishia wapi?
 
Hii mada yako si ngeni kuna wahusika flani washawahi kuileta kwenye media flani hivi miaka ya 2004 Sijui nao waliishia wapi?

Nilikuwa mmojawao ila tukakutana na vizingiti kibao serikalini ila sijakata tamaa kwakuwa mahitaji yapo na ni makubwa
 
Hata mm huwa nasema upumbavu na umajino ndio maana hatuendelei tungekuwa tunadumisha mila zetu na kuhifadhi kumbukumbu tunhefanikiwa sana
 
Back
Top Bottom