figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Nimeenda sehemu kunywa soup maeneo ya chang'ombe jijini dar es salaam, cha ajabu pale mapokezi nimeona kibao kimesha geuzwa. Kimoyo moyo nikasema leo kazi ipo. Na hii hali ya hewa ya kibaridi si mchezo.
Nawatakieni utamu mzuri. mia
Nawatakieni utamu mzuri. mia