kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,121
- 15,686
mkuu naona mabandiko yako, unajitahidi kutumia nguvu kubwa sana kudhihirisha serikali ya ccm chini ya raisi JPM mambo yako poa tu ajira zipo, maisha hayana gharama, uhuru wa maoni upo, demokrasia ipo, yaani kila kitu kipo, sera za ccm zinatimizwa zote tena kwa wakati n.k.
inahitaji kujitoa akili ili mtu usome na kuelewa unachokipigania hivi karibuni kupitia sredi zako uchwara zenye ukakasi mwingi... kama wewe unapata milo mitatu kwa siku na ukakula hizo unazoziita bata sio wote wako hivo...
inahitaji kujitoa akili ili mtu usome na kuelewa unachokipigania hivi karibuni kupitia sredi zako uchwara zenye ukakasi mwingi... kama wewe unapata milo mitatu kwa siku na ukakula hizo unazoziita bata sio wote wako hivo...