Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama, chonde chonde msijitie doa.

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,208
Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama kwa miaka mingi vimesifika kwa weledi na umahiri wa kiutendaji.
Na ndio maana Operations zake mara zote huwa zinaendeshwa na Intellijesia ya uhakika.
Wazungu wanaita sound intelligence.

Hivi vyombo vyetu ni zao la wananchi wenyewe hivyo kuaminika kwao na jamii ni jambo la lazima, na si ombi.

Vyombo hivi vina wafanyakazi wenye akili timamu na wenye ujuzi na weledi.
Matukio ya miaka ya hivi karibuni imeanza kutia shaka weledi uliojengwa kwa miaka mingi .

Stage managing events ni suala linalotakiwa ujuzi na weledi usiota shaka.

Vyombo vyetu inabidi vikatae katakata kujiingiza kwenye operations zisizo na tija wala manufaa yanayoonekana kwa Taifa.

Suala la kutekwa kwa Mo Dewji limeibua sura mbaya, sura isiyoeleweka na inayoitia aibu nchi kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Matukio yasiyo na maelezo yanayotosheleza yanazidi kuongezeka, kutekwa kwa Roma, jaribio la mauaji ya Lissu na mengine.

Vyombo vyetu tunawaamini sana, tusijiweke mkao wa kuvuna dharau ya wananchi.
 
Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama kwa miaka mingi vimesifika kwa weledi nabumahiri wa kiutendaji.
Na ndii maana Operations zake mara zote huwa zinaendeshwa na Intellijesia ya uhakika.
Wazungu wamaita sound intelligence.

Hivi vyombo vyetu ni zao wananchi wenyewe hivyo kuaminika kwao na jamii ibjambo la ombi, ni lazima.

Vyombo hivi vina wafanyakazi wenye akili tumamu na wenye ujuzi na weledi.
Matukiobya miakabya hivi karibuni imeanza kutia shaka weledi uliojengwa kwa miaka mingi .

Stage managing events ni suala linalotakiwa ujuzi na weledi usiota shaka.

Vyombo vyetu inabidi vikatae katakata kujiingiza kwenye operations zisizo na tija.

Suala la kutekwa kwa Mo Ibrahim limeibua sura mbaya isiyoeleweka na inayoitia aibu nchi kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Matukio yasiyo na maeleza yanayotosheleza yanazidi kuongezeka, kutekwa kwa Roma, jaribio la mauaji ya Lissu na mengine.

Vyombo vyetu tunawaamini sana tusijiweke mkao wa kuvuna dharau ya wananchi.
Vyombo vyetu vinafanya vizur na havija tuangusha, ila wawe macho na wana siasa ambao wakotayari kuvichafua vyombo vyetu kwa maslai yao binafsi.
 
They have no way out Mkuu.....

Wanafungwa na sheria zetu zinazowaongoza kutenda ama kufanya operation zao.....

Sasa kama DC ama RC ambaye ni mwanasiasa anakuwa ndiye mtoa amri ya "kamata huyu, weka ndani (selo) hadi masaa yangu 48 yaishe" ndiyo mumwachie unategemea nini?

Mwasisi wa taifa hili Mzee Julius K. Nyerere alishawahi kusema kabisa huko nyuma kwamba, kwa katiba hii ( yaani ya JMT ya mwaka 1977 ambayo kimsingi ndiyo imezaa sheria zingine zote), siku nchi ikija kupata viongozi "vichaa", basi udikteta (viongozi kutumia madaraka yao vibaya) ni inevitable...... haizuiliki!!

Nadhani wakati uliosemwa na Baba wa taifa ni huu, umeshafika. Na kwa ukweli wanafuata sheria zilizopo pamoja na katiba, hawafanyi makosa yoyote.

Lakini jambo muhimu lililo muhimu sana ni hili.....

Ukiona giza linazidi kuwa nene, tambua mara moja kuwa mapambazuko yanakaribia. Jiandae kuamka kuingia kazini. Usivute shuka kuendelea kulala. Utachelewa!!
 
They have no way out Mkuu.....

Wanafungwa na sheria zetu zinazowaongoza kutenda ama kufanya operation zao.....

Sasa kama DC ama RC ambaye ni mwanasiasa anakuwa ndiye mtoa amri ya "kamata huyu, weka ndani (selo) hadi masaa yangu 48 yaishe" ndiyo mumwachie unategemea nini?

Mwasisi wa taifa hili Mzee Julius K. Nyerere alishawahi kusema kabisa huko nyuma kwamba, kwa katiba hii ( yaani ya JMT ya mwaka 1977 ambayo kimsingi ndiyo imezaa sheria zingine zote), siku nchi ikija kupata viongozi "vichaa", basi udikteta (viongozi kutumia madaraka yao vibaya) ni inevitable...... haizuiliki!!

Nadhani wakati uliosemwa na Baba wa taifa ni huu, umeshafika. Na kwa ukweli wanafuata sheria zilizopo pamoja na katiba, hawafanyi makosa yoyote.

Lakini jambo muhimu lililo muhimu sana ni hili.....

Ukiona giza linazidi kuwa nene, tambua mara moja kuwa mapambazuko yanakaribia. Jiandae kuamka kuingia kazini. Usivute shuka kuendelea kulala. Utachelewa!!
Mkuu hivi vyombo vyetu vinavuna aibu kwa matendo ambayo bado yana ukakasi wa maelezo.
Taasisi yoyote hasa ya kiusalama ikisheheni blunders zisizo na mbele wala nyuma ni aibu.
 
Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama kwa miaka mingi vimesifika kwa weledi na umahiri wa kiutendaji.
Na ndio maana Operations zake mara zote huwa zinaendeshwa na Intellijesia ya uhakika.
Wazungu wamaita sound intelligence.

Hivi vyombo vyetu ni zao wananchi wenyewe hivyo kuaminika kwao na jamii ibjambo la ombi, ni lazima.

Vyombo hivi vina wafanyakazi wenye akili tumamu na wenye ujuzi na weledi.
Matukio ya miaka ya hivi karibuni imeanza kutia shaka weledi uliojengwa kwa miaka mingi .

Stage managing events ni suala linalotakiwa ujuzi na weledi usiota shaka.

Vyombo vyetu inabidi vikatae katakata kujiingiza kwenye operations zisizo na tija.

Suala la kutekwa kwa Mo Dewji limeibua sura mbaya isiyoeleweka na inayoitia aibu nchi kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Matukio yasiyo na maelezo yanayotosheleza yanazidi kuongezeka, kutekwa kwa Roma, jaribio la mauaji ya Lissu na mengine.

Vyombo vyetu tunawaamini sana, tusijiweke mkao wa kuvuna dharau ya wananchi.
Mkuu ni ukweli mtupu uliochelewa kutoka kutoka kwako.
 
Vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama kwa miaka mingi vimesifika kwa weledi na umahiri wa kiutendaji.
Na ndio maana Operations zake mara zote huwa zinaendeshwa na Intellijesia ya uhakika.
Wazungu wamaita sound intelligence.

Hivi vyombo vyetu ni zao wananchi wenyewe hivyo kuaminika kwao na jamii ibjambo la ombi, ni lazima.

Vyombo hivi vina wafanyakazi wenye akili tumamu na wenye ujuzi na weledi.
Matukio ya miaka ya hivi karibuni imeanza kutia shaka weledi uliojengwa kwa miaka mingi .

Stage managing events ni suala linalotakiwa ujuzi na weledi usiota shaka.

Vyombo vyetu inabidi vikatae katakata kujiingiza kwenye operations zisizo na tija.

Suala la kutekwa kwa Mo Dewji limeibua sura mbaya isiyoeleweka na inayoitia aibu nchi kupitia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Matukio yasiyo na maelezo yanayotosheleza yanazidi kuongezeka, kutekwa kwa Roma, jaribio la mauaji ya Lissu na mengine.

Vyombo vyetu tunawaamini sana, tusijiweke mkao wa kuvuna dharau ya wananchi.

Haya yote hayataisha mpaka pale tu ' Mzizima Kithethe Matege Virus ' Kitakapodhibitiwa vilivyo bila haya / soni / aibu na Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
 
Roma alienda Zimbabwe
Napita tu mie sijui naenda wapi....nikipotea msinitafute ntarejea peke.
 
Kuna chombo cha usalama kimekuwa a nguvu sana awamu hii na kufikia kufukuza vyombo vingine, shida utawala wa sheria haufuatwi
 
Maelezo kuhusu eneo la crime scene viwanja vya Gymkhana club lililo karibu kabisa na jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi jijini Dar-es-Salaam, Tanzania :
Kilichokutwa eneo 'Mo Dewji' alilopatikana!


Source: Global TV online
 
Back
Top Bottom