Je, Rais alishauriwa au kuuliza watangulizi wake nia yakuchunguza mienendo ya vyombo vya usalama?

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,184
11,201
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
 
Huyu Mama kachoka kutawala nchi,anawachunguza wazee wa Deep state!

Jiwe mwenyewe kwenye kampeni ya vyeti fake huko hakugusa.Asubiri aone,atajua hajui!!
Mnamtisha nini sasa. Yeye ndiye anawateua kuanzia Chief wao. Chief wao tu hakuna anayeweza kumnyumbisha sembuse Rais?

Hii ni kwa mujibu wa muundo wa CIA
 
Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu Ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa.

Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulinzi aliwapa tabu sana wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwang'ata.

Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu.

Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa aling'ata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu.

Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
 
Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa. Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulizi maji tabu na wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwangata. Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu. Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa alimgata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu. Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
Strong Message
 
Hio nchi ni Egypt na rais Mohammed Morsi ndie alie ondolewa na mkuu wa jeshi. Yale yalitokea kwasababu Ulaya walitaka itokee vile. Kama Libya na Gaddafi ulaya wametaka aondoke kaondoshwa.

Nitakupa mfano wangu nilikuwa na mbwa kila usiku namtoa nje kwa ulinzi aliwapa tabu sana wapita njia wengi walilalamika juu ya mbwa wangu kuwang'ata.

Nawasikiliza wakiondoka nabaki kucheka walolalamika ni wengi sikujali kwasababu mbwa alikuwa akinilinda pamoja na mali na familia yangu.

Kuna siku sijui ilikuwaje yule mbwa aling'ata mwanangu. Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha yake huyu mbwa, kwasababu safari hii kaumiza familia yangu.

Huo ujumbe wa mbwa usome sana na uzingatie maana yake.
Mbwa alimng'ata mwanao Kinana, Nape na Makamba

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Kwa aina nyingine mama anaanza kudeal na matatizo yatakayotatuliwa na Katiba mpya. Kuhusu reforms za uendeshaji na utendaji wa jeshi la polisi ana maana sababu kama mkubwa hawezi kupeleka fedha za maendeleo na mafunzo bila kujua hasa ni kweli zitaenda kutumika kwa mafunzo yaani kuwepo na taratibu kabisa za kisheria za usimamizi wa rasilimali kwenye chombo hicho.

Amesema akimaliza ataenda National Prosecution office nako ni vile vile. japo hii zi kazi ndogo na anaweza akakumbana na vikwazo akaishia kuweka mafaili kababtini.

wafadhili ndio wametoa huo muongozo kumbuka kesi ya Mbowe walikuwa.wanaifuatilia sana wakaelewa blue print ya mfumo wetu wa haki jinai ukoje. Naye ndugu Lissu.anaongelea sana huko kwa mabeberu mfumo wetu wa kupata haki mahakamani ulivyo na mushkeri na nyingi ni za kiutendaji aidha kwa makusudi au kwa kutokujua kwa watendaji.

Mungu amsaidie raisi wetu aweze kubadilisha hii mifumo.
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
Very fertile imagination.
 
Samahani kwa wale huenda mtaendeshwa na hisia za kichama na ushabiki pasipo kuwa na uwelewa wa miundo ya vyombo vya ulinzi na mienendo yake.

Kwanza nianze kwa kusema vyombo vya ulinzi na usalama ndio dola na dola ndio nguvu ya walio shika serikali.
Kwa uzowefu wangu na uwelewa wangu na hata mabandiko ya siri na viapo vya siri ktk dola hakuna mtu yupo tayari kutoa siri ndani ya dola maana anajuwa kitakacho mpata.

Katika muundo wa usalama kila mtu ana dot line yakutoa taarifa ndani ya hiyo dot line hakuna anaye mwingilia mwingine isipo kuwa ktk kila dot line kuna dot ya kwenda usalama wa Taifa. Haya majitu ya usalama wa taifa.. Kwa usiri mkubwa sana huchakata taarifa zote ktk idara nyeti zote kwa masilahi mapana ya Taifa pasipo kujali cheo au nafasi ya mtu ktk ngazi yeyote ile ya Taifa. Kwa wale wajuvi wa mambo ndani ya idara zote hakuna alie salama. Yes hakuna alie salama. Mdomo wako waweza kuwa kaburi lako ndio maana haya maidara yanatisha sana.

Katika Taifa moja Afrika pali ibuka chama chenye siasa kali za mrengo wa dini fulani chama kile kilitikisa taifa na taifa lile likatikisika Rais aliekuwa madarakani wakati ule akajiuzulu Taifa likaenda kwenye uchaguzi na kile chama kikashika dola. Pasipo kujuwa Rais wa taifa lile akamteuwa mkuu wamajeshi alie amini angemtii na kumsikiliza na kwakuwa chama kile kilishika hatam kwa ridhaa ya wananchi Rais akajuwa hakuna chakumtikisa.

Idara za usalama wa Taifa lile zikapenyezewa full taarifa ya mahusiano ya chama kile nataifa moja huko mashariki ya kati hapo ndipo mwenye dola alibadilishwa kuwa mdoli. Shirika la ujasusi lilipewa mpaka mpango mkakati wa Taifa lile kupitisha sheria kuwa taifa la dini fulani ili jambo hilo kuwa kweli basi muda haukupita Rais yule akataka badili katiba nakuweka vifungu idara walipewa. Amin usiamini Mkuu wa majeshi ambaye alichaguliwa na Yeye mwenyewe ndie alimfurusha madarakani na kumuweka kizuwizini mpaka umauti na haikuishia hapo chama kile kikawa black listed.

Nini tunajifunza katika hili ni muundo wa dola au idara za usalama mimi nadhani huwezi kuchunguza muundo ww dola lako ktk jukwaa au kwa kuteuwa watu wawili au mmoja why? Kumbuka mtutu yeyote anaye juwa muundo wa usalama anakuwa na hitaji la ulinzi wa ziada maisha yote why?

Pamoja na katobu mkuu wa Rais kuwa mmoja wao ila hata yeye haujuwi muundo yes haujuwi. Pamoja jaji mkuu anakalia kiti kama jaji mkuu bado haujuwi muundo na kama unabisha kamfufuwe Nyerere aje awasimulie.

Nini chaweza kutokea uwenda ile kamati tusiisikie popote tena na ile panguwa panguwa ikawa historia. Why mimi sina majibu kawaulizeni idara.

Kiufupi mbele ya dola hakuna alie salama ndio maana Rais wataifa lolote ni mfungwa mwenye mamlaka. Ndio maana hayupo na uhuru ule unauwona. Nakama unataka kuamini basi nenda kaulize why saa kumi nambili bendera inashushwa na bendera ya JWTZ inakuwa inapepea.

Ukweli nikwamba kuna vyombo havilali wakati jamuhuri imelala.

Je wajuwa nguvu ya Rais ni dola na dola yeye ndio command on chief. Je anaunda tume kuchunguza siri za nyumba yake while angeweza fanya kimya kimya kwa kutumia idara za siri? End
Command on chief?🚮🚮
 
Umejaribu kuelezea kisa cha Mohamed Morsi aliekuwa Rais wa Egypt na kuchagua kihalali na wananchi

Ila kitu Labda usichokijua ni kuwa Al Sisi aliandaliwa tangu mdogo na Israel
Mama yake ni Myahudi na baba Egyptian

Ndio maana siku aliposhika madaraka nchi ya kwanza kumpa Hongera na furaha za kupita kifani walikuwa Wayahudi

Kuelewa haya mambo inatakiwa uingie ndani au ujifunze mengi jinsi dunia inavyotawaliwa
Nani awe Rais kwa maslahi ya nchi na dunia pia

Ukisikia Rais kafa jiulize sana
 
Back
Top Bottom