HIMLER
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 429
- 227
Mimi binafsi kwa muda mrefu kiasi nimeviona vyombo vingivya habari vikiwa mstari wa mbele kureport habari mbazo hazijafanyiwa upembuzi wa kina nakuishia kuripoti habari nakuitoa kama ilivyo bila kuifanyia analysis nakujua kwamba mtoaji wa mada alikua anapotosha umma au laa wamekua wakituhabarisha kiushabiki rai yangu watanzania tuwe makini navyombo vyetu vya habari