Kununua sio kesi, na ni nani kakwambia tutagushi, hujajua hata matumizi yake, unakombilia kusema ni kesi. Kwa dunia tunayoishi hivi sasa, kama wewe hutafanya kitu, someone else will. Wewe endelea kusali na kuogopa kutenda dhambi.Sasa hapa mzee si kesi hii ya kugushi vyeti, we vyeti vya mtu nini...
Identity TheftKwa nini unasema hivyo ndugu
Sa ye Ajichanganye aone
😁😁😁Njoo nikuuzie vya kwangu. Ila utalazimika kila siku kupaka chokaa kichwani ili tu uonekane una mvi kama hizi za kwangu. Kwa sababu vimepatikana miaka mingi iliyopita.