Vyama Washirika wa UKAWA vyadhihirisha kuwa ni vyakikabila, Kikanda na kidini

Kama zitto tu kawashinda anawapukutisha kila anakopita hayo maji marefu ni maji gani labda maji ya chai ya basi ya kure arusha.

Endeleeni kudanganywa na kifaranga wenu huyo fahamu zitakapo warejea ndipo mtatambua kuwa mulikuwa mnadanganywa.
 
Mh.Tufe jaribu kuwa na staha.Wewe jama ni muungwana basi Jisikie haya kutamka maneno hayo.Kwa mfano umekutwa kwa bahati mbaya na binti yako mdogo wa miaka 6 unaangalia CD ya ngono halafu akakuambia baba ni aibu kwako na ni dhambi kuangalia huo uchafu.
 
Na huu ndo ukweli wenyewe. James Mbatia baada ya kuona kuwa nje ya uchagani hana mtaji, ameamua kurudi Vunjo kugombana na Mrema

Na Mrema si alitokea Temeke?
Mkuu kelele za nini kama katiba haijavunjwa,hakika Ukawa ni umiza kichwa.
 
Kweli kabisa Mkuu. Dhambi ya ubaguzi itawatafuna hawa ukawa

Ina maana kuwa mumeishiwa kabisa kiasi cha kutokuwa na uwezo,wakuandaa single nyine mpaka mrudie hii ya ukabila,ambayo imeshapitwa na wakati?.
 
Hivi watu hamuwezi kujadili mambo kwa staha kuliko kutukana na kutunga uongo, wenzenu wanajadili watajikwamua vipi kwenye economic crisis na kujadili maswali muhimu ya kuwauliza wagombea nyie mnajadili slaa Kuoa mke WA mtu, hivi hyo ina uhusiano gani na wananchi kupata huduma za msingi na kupunguza umaskini WA kipato..slaa akichukua mke WA mtu we inakuathiri vipi kiuchumi,kimaendeleo? Ifikie hatua tubadirike na tujadiri mambo ya muhimu.
 
Kwani wewe hujui kuwa CCM ni chama cha wakristo? Kama hujui muulize Dr Slaa alikuwa na wadhifa gani pale Vatican wakati akiwa Padre na mwanachama wa ccm, Elimika kuanzia hapo hayo unayosema wewe ni matokeo tu mechi ilishachezwa kitambo! miaka hiyo!!!
 
hawa dawa ni moja yaani ni kuwanyima kila kitu. wapuuzi hawa!
 
Mkuu oldonyosambu hawa wajamaa wamezoea kupost utumbo humu. Na utumbo hujibiwa kiutumboutumbo tu. Asante.
 
Last edited by a moderator:

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Haaaaaa! Haaaaaaa! Haaaaaa! Haaaaaaa! Nyie CCM ni Wahuni tu; Sasa ukabila na ukanda ukoje hapo? NCCR Mwenyekiti wake ni Mchaga, nguvu ya chama iko Kigoma, ni kwa Wachaga kule Kigoma? Ukabila uko wapi hapo. CHADEMA ina Wabunge Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Mwanza, Singida, Kagera, Iringa, Shinyanga, Simiyu na Katavi ispokuwa tu Zanzibar kutokana na sbb za kihistoria. Mikoa yote hiyo inapatikana katika kanda zote za nchi kuanzia Masharki hadi Magharibi, Kaskazini hadi Kusini.
Sasa kwa maoni yako wewe mkuu ukanda, ukabila na udini wa CHADEMA uko wapi hapo?

Hata hivyo, hata mkoa tu wa Kilimanjaro utagundua kuwa CCM ndio ina wabunge wengi kuliko CHADEMA. Kungekuwa na huo ukabila basi CHADEMA ingekuwa inashikilia majimbo yote ya mkoa wa Kilimanjaro. Hali kadhalika Arusha na Manyara CHADEMA hawana majimbo yote, kote huko CCM ina majimbo mengi. Huo ukanda na ukabila uko wapi? CUF nayo ni vivyo hivyo. Kwa hiyo hizo propaganda zenu ni za kupuuzwa na haziwezi kuwasaidia kitu kwa sasa.

Mara nyingi nimekuwa nawambia vijana wa CCM kuwa nendeni shule kwenye Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl.Nyerere kule mkasomee namna ya kutengeneza propaganda vizuri kama makada wa zamani. Hizi propaganda mnazotuletea hapa jamvini zinawaabisha tu kwa sbb hazijaandaliwa kwa ustadi. Hata mtoto wa chekechea anaweza kung'amua. UKAWA wamewashika pabaya, na mnachofanya sasa ni kujaribu kutumia propaganda za miaka yote tangu miaka 1990, ambazo kimsingi zilishashindwa kuwaletea matokeo yanayotarajiwa
 
Yeriko, hilo huhitaji kupigiwa mbiu ili ulijue. Huu mgogoro wa kung'ang'ania majimbo kila chama kinataka kusimamisha wagombea kwenye maeneo yake ni ishara tosha kuwa hakuna tena cha ukawa.

Huna hoja.

Jk akiondoka madarakani utakufa njaa
 
Mimi nimekuuliza tu swali ni kwanini waliungana? Kwa kifupi KANU kilikuwa hakina nguvu Zanzibar vilevile ASP ilikuwa haina nguvu bara, Nyerere aliliona hilo na alimshirikisha Karume kabla ya kufariki 1972 lakini Karume hakukubaliana naye, mpaka alivyofariki ...Nyerere akamvizia Abdu Jumbe 1976 na 1977 wakaunganisha vyama. Ujumbe uliokuwepo hapo ni umoja wa kitaifa. kwanza lete fedha ya tuition siwezi kuendelea kufundisha bogus lilokimbia umande

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…