Kama zitto tu kawashinda anawapukutisha kila anakopita hayo maji marefu ni maji gani labda maji ya chai ya basi ya kure arusha.
Mkuu uko kishumundu nini mbona ishavunjika kitambo.
Na huu ndo ukweli wenyewe. James Mbatia baada ya kuona kuwa nje ya uchagani hana mtaji, ameamua kurudi Vunjo kugombana na Mrema
Kilichopo kwenye majimbo si UKAWA. ni vyama washirika wa ukawa. Na hakuna jipya kwani ni yale yale ya 1995, 2000, 2005 na 2010
Kweli kabisa Mkuu. Dhambi ya ubaguzi itawatafuna hawa ukawa
hawa dawa ni moja yaani ni kuwanyima kila kitu. wapuuzi hawa!Wadau amani iwe kwenu.
Hii sasa si siri tena. Ni ukweli ulio dhahiri kabisa ambao hata mtoto mdogo anaweza kuuona.
Ni kwamba, kwa muda mrefu kulikuwa na madai kuwa CHADEMA na CUF ni vyama vya kidini, kikabila na kikanda. Madai haya yamekuwa yakitolewa na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini. Cha kushangaza ni kwamba, wenye vyama hivyo wamekuwa wakikanusha kwa nguvu wawapo majukwaani. Wanasema kuwa dhana ya udini, ukabila na ukanda imekuwa ikitolewa na CCM ili kuvidhoofisha vyama hivyo kisiasa. Katika kukanusha madai hayo, baadhi ya vyama kama vile CHADEMA vimejaribu kuchanganya safu yake ya uongozi japo kitakwimu dhana ya udini, ukanda na ukabila inadhihiri.
Mungu si Athumani na waswahili wanasema kuwa pembe la ng'ombe halifichiki. Hivi sasa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI na NLD vimegawana majimbo ambayo watasimamisha wagombea wao. Katika mgawanyo huo, ile dhana ya udini, ukanda na ukabila imejidhihiri tena kwa macho angavu. Mathalan, NCCR Mageuzi bado kimeendelea kuwa ni chama cha mkoa wa Kigoma pekee ijapokuwa mwenyekiti wake anataka kugombea jimbo la Vunjo ambalo wakazi wengi ni wa kabila lake. Halikadhalika, CHADEMA imeendelea kutetea majimbo yale yale yenye wafuasi wake wengi ambayo yanakaliwa na wachagga na majimbo ya mikoa ya kaskazini au yale yanayokaliwa na watu wenye asili ya mikoa ya kaskazini. Mathalan, kwa Dar es Salaam, CHADEMA imetaka kusimamisha wagombea kwenye majimbo ya Kawe, Ubungo na Kinondoni ambayo kwa kiasi kikubwa yanakaliwa na watu wenye asili ya mikoa ya kaskazini. Vile vile, CHADEMA wanaonekana kutaka kusimamisha wagombea kwenye mikoa mingi yenye wakazi wengi ambao ni waumini wa dini ya kikristo. Hali hii inawwfanya CHADEMA wasione kuwa maeneo yanayokaliwa na waislam wengi kuwa hayana tija kwao kisiasa au hawana nafasi ya kushinda uchaguzi
CUF kwa upande wake, wao wameendelea kutetea dhana ya kuwa ni chama cha mikoa ya pwani yenye wakazi wengi wa jamii ya kiislam. Mathalan, CUF imetaka kusimamisha wagombea kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani, Tabora, Tanga na majimbo yote ya Zanzibar ambako wanaamini kuwa ndiko kwenye wafuasi wao. Kwa Dar es Salaam, CUF wameomba kusimamisha wagombea kwenye majimbo ya Temeke na Kigamboni ambako wakazi wake wengi wana asili ya mikoa ya kusini. CUF wanaona kuwa kwenye mikoa yenye wakristo wengi wao hawana mtaji wa kisiasa na kwamba hata wakisimamisha wagombea hawawezi kuchaguliwa kwa vile chama hicho wafuasi wake wengi ni waislam.
Tathmini zaidi inaonesha kuwa mgawanyo huu wa majimbo umekuja kudhihirisha kuwa vyama hivi si vya kitaifa bali vinategemea baadhi ya maeneo tu na watu wenye asili fulani ili kupata ushindi. Jiulize, kama CHADEMA ni chama cha kitaifa, kwa nini hakisimamishi wagombea mikoa ya kusini na majimbo ya Zanzibar? Jiulize, kama NCCR ni chama cha kitaifa, kwa nini kinang'ang'ania kusimamisha wagombea mkoa wa Kigoma tu?
Hakika hii ni aibu kwa siasa za nchi hii. Jiulize, kama ukabila, ukanda na udini unajidhihiri kwenye majimbo ya uchaguzi, vipi wataficha dhana hiyo ikiwa watashinda uchaguzi? Mungu tuepushe na hilo balaa.
Mkuu oldonyosambu hawa wajamaa wamezoea kupost utumbo humu. Na utumbo hujibiwa kiutumboutumbo tu. Asante.Mh.Tufe jaribu kuwa na staha.Wewe jama ni muungwana basi Jisikie haya kutamka maneno hayo.Kwa mfano umekutwa kwa bahati mbaya na binti yako mdogo wa miaka 6 unaangalia CD ya ngono halafu akakuambia baba ni aibu kwako na ni dhambi kuangalia huo uchafu.
Wadau amani iwe kwenu.
Hii sasa si siri tena. Ni ukweli ulio dhahiri kabisa ambao hata mtoto mdogo anaweza kuuona.
Ni kwamba, kwa muda mrefu kulikuwa na madai kuwa CHADEMA na CUF ni vyama vya kidini, kikabila na kikanda. Madai haya yamekuwa yakitolewa na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini. Cha kushangaza ni kwamba, wenye vyama hivyo wamekuwa wakikanusha kwa nguvu wawapo majukwaani. Wanasema kuwa dhana ya udini, ukabila na ukanda imekuwa ikitolewa na CCM ili kuvidhoofisha vyama hivyo kisiasa. Katika kukanusha madai hayo, baadhi ya vyama kama vile CHADEMA vimejaribu kuchanganya safu yake ya uongozi japo kitakwimu dhana ya udini, ukanda na ukabila inadhihiri.
Mungu si Athumani na waswahili wanasema kuwa pembe la ng'ombe halifichiki. Hivi sasa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI na NLD vimegawana majimbo ambayo watasimamisha wagombea wao. Katika mgawanyo huo, ile dhana ya udini, ukanda na ukabila imejidhihiri tena kwa macho angavu. Mathalan, NCCR Mageuzi bado kimeendelea kuwa ni chama cha mkoa wa Kigoma pekee ijapokuwa mwenyekiti wake anataka kugombea jimbo la Vunjo ambalo wakazi wengi ni wa kabila lake. Halikadhalika, CHADEMA imeendelea kutetea majimbo yale yale yenye wafuasi wake wengi ambayo yanakaliwa na wachagga na majimbo ya mikoa ya kaskazini au yale yanayokaliwa na watu wenye asili ya mikoa ya kaskazini. Mathalan, kwa Dar es Salaam, CHADEMA imetaka kusimamisha wagombea kwenye majimbo ya Kawe, Ubungo na Kinondoni ambayo kwa kiasi kikubwa yanakaliwa na watu wenye asili ya mikoa ya kaskazini. Vile vile, CHADEMA wanaonekana kutaka kusimamisha wagombea kwenye mikoa mingi yenye wakazi wengi ambao ni waumini wa dini ya kikristo. Hali hii inawwfanya CHADEMA wasione kuwa maeneo yanayokaliwa na waislam wengi kuwa hayana tija kwao kisiasa au hawana nafasi ya kushinda uchaguzi
CUF kwa upande wake, wao wameendelea kutetea dhana ya kuwa ni chama cha mikoa ya pwani yenye wakazi wengi wa jamii ya kiislam. Mathalan, CUF imetaka kusimamisha wagombea kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani, Tabora, Tanga na majimbo yote ya Zanzibar ambako wanaamini kuwa ndiko kwenye wafuasi wao. Kwa Dar es Salaam, CUF wameomba kusimamisha wagombea kwenye majimbo ya Temeke na Kigamboni ambako wakazi wake wengi wana asili ya mikoa ya kusini. CUF wanaona kuwa kwenye mikoa yenye wakristo wengi wao hawana mtaji wa kisiasa na kwamba hata wakisimamisha wagombea hawawezi kuchaguliwa kwa vile chama hicho wafuasi wake wengi ni waislam.
Tathmini zaidi inaonesha kuwa mgawanyo huu wa majimbo umekuja kudhihirisha kuwa vyama hivi si vya kitaifa bali vinategemea baadhi ya maeneo tu na watu wenye asili fulani ili kupata ushindi. Jiulize, kama CHADEMA ni chama cha kitaifa, kwa nini hakisimamishi wagombea mikoa ya kusini na majimbo ya Zanzibar? Jiulize, kama NCCR ni chama cha kitaifa, kwa nini kinang'ang'ania kusimamisha wagombea mkoa wa Kigoma tu?
Hakika hii ni aibu kwa siasa za nchi hii. Jiulize, kama ukabila, ukanda na udini unajidhihiri kwenye majimbo ya uchaguzi, vipi wataficha dhana hiyo ikiwa watashinda uchaguzi? Mungu tuepushe na hilo balaa.
Kunavicheche vingine shida sana sijui unataka usema nini bavicha mnashida sana.Umempa Lizabon akushikie posho yako ya 7000?
Mkuu wewe jembe lakini mimi kwako ni mpini kumbuka jembe haliwezi kufanya kazi mpaka litiwe mpini ushanipata mwanafyale.una akili ndogo kama ya kuku coz wew ni msukule so huwez shindana na jembe kama mm
Yeriko, hilo huhitaji kupigiwa mbiu ili ulijue. Huu mgogoro wa kung'ang'ania majimbo kila chama kinataka kusimamisha wagombea kwenye maeneo yake ni ishara tosha kuwa hakuna tena cha ukawa.
Mimi nimekuuliza tu swali ni kwanini waliungana? Kwa kifupi KANU kilikuwa hakina nguvu Zanzibar vilevile ASP ilikuwa haina nguvu bara, Nyerere aliliona hilo na alimshirikisha Karume kabla ya kufariki 1972 lakini Karume hakukubaliana naye, mpaka alivyofariki ...Nyerere akamvizia Abdu Jumbe 1976 na 1977 wakaunganisha vyama. Ujumbe uliokuwepo hapo ni umoja wa kitaifa. kwanza lete fedha ya tuition siwezi kuendelea kufundisha bogus lilokimbia umandeHaya ndo madhara ya kunywa viroba. Ndo maana hata hujui mada inahusu nini. TANU waliungana na ASP wakaunda chama kimoja kiitwacho CCM. Baada ya kuzaliwa CCM, vyama vya TANU na ASP automatically vilikufa. Sasa niambie kama muungano wa TANU na ASP unafanana na huu muungano wenu wa UKAWA