elfusifuri
Senior Member
- Jul 25, 2018
- 165
- 186
Kabisa mkuu !Imework Kenya
Mkuu hizi sheria sio kwaajiri ya wapinzani nikwaajili ya Watanzania wote sema ccm ni vilaza wanaliwa liveTupo kwenye tatizo la Sheria kandamizi,zinapitishwa kwa mabavu na kutumika dhidi ya wapinzani.
Hii dhana Ni mbovu mno,kwamba chama tawala ndiyo Watanzania.Mambo sensitive kama haya huamsha hasira za watawaliwa.
Kwani hatujawahi kushindwa au kushinda kwenye kesi zilizoendeshwa nje ya Tanzania? Nani ali-enforce ruling?Mambo mengine bhana. ..
Sasa hata wakishinda nani ata enforce hiyo ruling?
Maana Africa kila mtu anajitawala anayotaka
Mambo mengine bhana. ..
Sasa hata wakishinda nani ata enforce hiyo ruling?
Maana Africa kila mtu anajitawala anayotaka
SwadaktaUko sawa, lakini hata serikali isipotekelexa hiyo hukumu bado nia ovu ya hiyo sheria itawekwa wazi, na serikali ya Tanzania itafahamika kwamba haifuati sheria. Mbinyo mingi ya kimataifa itaiweka Tanzania pabaya. Dunia ikianza kuiweka Tanzania pabaya hali itazidi kuwa ngumu. Mfano mrahisi ni sasa kwa wafadhili kuzuia misaada yao unaona mambo yanavyoyumba. Hali hii itakuwa mbaya zaidi.
Erythro, naomba niulize, kwa sababu sina kumbukumbu na hili.Unajua hii sheria ya vyama vya siasa ya Tanzania hata Makaburu hawakuwahi kuitumia
Pamoja na yote hayo bado Msajili wa vyama wa Uganda hajawahi kupewa nguvu ya kuchagua viongozi wa vyama vya siasa vya nchini humo, wala hajawahi kupewa mamlaka ya kuteuwa wagombea wa vyama vya upinzani nchini humo .
Unajua hii sheria ya vyama vya siasa ya Tanzania hata Makaburu hawakuwahi kuitumia , hii ilitumika na HITLER tu , hatuwezi kukubali unyama huu kutumika Tanzania
Lundo la watu wema wamependekeza kesi hii ifunguliwe huko wakiwemo majaji wa Tanzania wanaoelewa sana mambo ya awamu ya 5Erythro, naomba niulize, kwa sababu sina kumbukumbu na hili.
Hivi kesi kama hiyo iliyofunguliwa kwenye mahakama ya Afrika Mashariki iliwahi kufikishwa kwenye mahakama yetu hapa?
Ninachokumbuka ni wakati ilipofunguliwa kesi kabla bunge halijapitisha sheria hiyo; ilikuwa bado ni mswada. Je, baada ya kuwa sheria na kusainiwa, mahakama zetu bado zilikataa kuipokea kesi hiyo, na kulazimu kwenda Mahakama ya Afrika Mashariki?
Asante sana mkuuMkuu inawezekana hitler ame re incarnate. Ndio maana mambo ya ki dictator tumeanza kuyaona tz. Mkuu na hasa ukichukulia kuwa Tanganyika iliwahi kuwa chini ya dola la wajerumani, si ajabu roho ya babu hitler kuweza kujipenyeza miongoni mwa watawala wetu. Nadhani hata Botha na Ian Smith wanatushangaa kwa jisnsi serekali yetu ilivyowashupalia wakati wa utawala wao wa mabavu. Lakini kwa sasa serekali yetu inafanya udhalimu kuliko walio ufanya wao.
Hana lolote mwepesi tuu, kumbuka kesi ile ya Bombardier jinsi alivyohenyeshwa hadi kalipa Mara mbilimbili!