Vyakula vya Kichina: Niulize chochote

Vyakula vya Kichina: Niulize chochote

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,959
Reaction score
828,683
Wachina ni mojawapo wa mbari inayosifika duniani kwa ubunifu wa vyakula na mapishi.. Lakini pia ni watu wanaokula chochote chenye uhai kinachoonekana kwa macho
Kiwe aridhini
Kiwe angani
Kiwe majini
Walipitia kipindi cha msoto mkali wa baa la njaa na hii ikawafanya waweze kula chochote chenye uhai.. Lakini pia kuwa na uwezo wa kupika ladha anuwai kwa chakula kilekile
Mchina kila pishi anshakikisha linatiwa kiungo ambacho ni tiba mbadala mwilini na ni watu wanaokiheshimu sana chakula..
Muda wao rasmi wa kula ni saa 12-1 asubuhi
5-6 mchana
12-1 jioni
Chakula kikuu ubwabwa usio na kiungo chochote hata chumvi
Mboga ni lazima zisipungue 3 au4
Nyama/samaki 1
Mboga za majani 2
Supu/mchuzi
Pishi la mchina ufundi uko kwenye mboga
Formula ya kula
Asubuhi kula vizuri
Mchana kula ushibe
Jioni kula kidogo

Vyakula vyao huendana na majira..
Kuna vya majira ya joto
Kuna vyakula vya kiangazi
Kuna vyakula kipindi cha baridi
Nyama inayopendwa sana ni kitimoto na umbwa hii inajoto sana...
Nitaendelea kwenye maswali.. Mapicha pia kama yote😋😋😋
1748991654696.jpg
eating_babies2.jpg
20170715_ASP501_0.jpg
 
Nilikula tambi zenye mayai katika jiji la Shanghai China, nilinenepa siku moja ingawa matumizi ya vijiti yalinitesa sana mpaka kidogo niwe nashika kwa mikono miwili. China wana very natural delicious food...
 
Back
Top Bottom