karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri mtaitikia wenyewe huko
Kila mtu kuna baadhi ya vyakula hawezi kuvila kwa sababu kama za magonjwa au kutokuvipenda.
Mimi binafsi siwezi kula vyakula vifuatavyo yani heri nishinde njaa. Sili sababu sivipendi tu.
~Viazi vitamu vya kuchemsha sili vya
Kukaanga nakula.
~Maharage yakiungwa na mafuta sili iwe kwa ugali hata kwa wali ila yakiwekwa nazi au mrenda wa majani nakula.
~Wali au ugali ukipoa sili
~kabichi hapana, kachumbali hapana
~Nyama ya ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, sungura, Bata na nyama za pori zote sili
~Chai iwekwe mchai chai na tangawizi tofauti na hapo sinywi.
~Maandazi, mikate, skonsi Sili
Sili kwa sababu sivipendi sio sababu vinaniletea matatizo hapana
Hebu na wewe tuambie ni vyakula gani huwezi kula hata vipikweje
Kila mtu kuna baadhi ya vyakula hawezi kuvila kwa sababu kama za magonjwa au kutokuvipenda.
Mimi binafsi siwezi kula vyakula vifuatavyo yani heri nishinde njaa. Sili sababu sivipendi tu.
~Viazi vitamu vya kuchemsha sili vya
Kukaanga nakula.
~Maharage yakiungwa na mafuta sili iwe kwa ugali hata kwa wali ila yakiwekwa nazi au mrenda wa majani nakula.
~Wali au ugali ukipoa sili
~kabichi hapana, kachumbali hapana
~Nyama ya ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe, sungura, Bata na nyama za pori zote sili
~Chai iwekwe mchai chai na tangawizi tofauti na hapo sinywi.
~Maandazi, mikate, skonsi Sili
Sili kwa sababu sivipendi sio sababu vinaniletea matatizo hapana
Hebu na wewe tuambie ni vyakula gani huwezi kula hata vipikweje