figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
ni jioni,umemmiss umpendae,unaamua kwenda sehemu kupata soft drink ili upoteze mawazo na mda.unafungua kinywaji chako ndani ya kizibo unakutana na neno VUTA HISIA ZAKO!.yaani unalazimishwa kuvuta hisia!?naudhika sana.mia