Mkuu ELFU-ONEIR Pamoja na kuwa Mungu yupo aachwe ajitetee huyo aliye wavunjia heshima wenye kuamini Dini
Picha kwa Hisani ya Global Ze Udakuz
Kwa nini kila mara waislamu wanapiga kelele za kuonewa?je ni kweli wanaonewa au ni ukorofi?au ni jamii dhaifu ndiyo maana wanaonewa?
Jaman msichezee imani za watu mtakuja kujuta
Siku moja tutakayomuona Mungu wetu, atatushangaa sana sana sana...hatukufanya yake tunajifanyia yetu...
hapa mkuu usirukie kwenye conclusion.....tujue kwanza ilikuwaje....kama ni wakristo wamefanya hivyo wachukuliwe hatua....ni lazima dini zote tuheshimiane.....kila mtu ana uhuru wa kuabudu.....
ni nani atatoa garama kufidia mali walizoharibu hawa ma al shababu?
wakristo ni wapole sana... Huo uhuru wa kuabudu ndio upi? Kupigana na kuharibiana mali? Sasa wakristo nao wakija juu na kusema mmechoma makanisa yetu itakuwaje? Acheni ujinga.... Kumbe ndo maana mlikataa hata kuhesabiwa kwa kuwa mnapenda uhalifu?
wakristo ni wapole sana... Huo uhuru wa kuabudu ndio upi? Kupigana na kuharibiana mali? Sasa wakristo nao wakija juu na kusema mmechoma makanisa yetu itakuwaje? Acheni ujinga.... Kumbe ndo maana mlikataa hata kuhesabiwa kwa kuwa mnapenda uhalifu?