Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

Nakumbuka wakati nasoma sekondari nilikuwa naota ndoto za majinamizi sana, nikaambiwa ukilala na Bibilia chini ya mto basi huwezi kuota tena majinamizi.
Nikalala nayo na bado majinamizi kaka kawaida

Enzi hizo tulikuwa tuna kipindi cha dini na mwisho yule padri alikuwa anasema mwenye tatizo binafsi baada ya kipi amfuate kwa ushauri

Basi nikamwende na kumueleza yote hadi kulala na Bibilia pia imeshindika bado naota tu
Yule padri akaniangalia na kucheka kisha akanambia hicho unachokiona hapo ni makaratasi tu na wino na haviwezi kukukinga na chochote wala kukuokoa
Akaniambia unatakiwa kuamini neno la Mungu ambalo lipo tu na si kutumia kitabu kama utakatifu. Kitabu ni kibebeo tu

Leo hii hata mtu avutie sigara Bibilia kamwe hajagusa Neno la Mungu maana kitabu na wino tumetengeneza sisi wanadamu bali tunapaswa kuyaamini yale ambayo hata ukichoma kitabu yatabaki milele

Nawashauri ndugu zangu waislam kutafakari sana mfano huu
 
Na wale wanaopita majumbani kwa watu wakihubiri wanamsaidia nani? mbona nae asijisaidie mwenyewe kuhubiri imani yake. Sio hoja hii
Ukweli ni kwamba kitendo kilichofanywa na huyo kijana si cha kiungwana, lakini pia waislamu hawakupaswa kuchukua maamuzi ya kukurupuka kihivyo. Walipaswa kufanya subira ili wajue ukweli wa jambo lenyewe, huenda watoto walikuwa wanacheza tu.
hivi kuhubiri ni sawa na kufanya fujo kufanya uharibifu? how can you compare kuhubiri na kushambulia makanisa na mali za watu kwa kitendo kilichofanywa na mtoto mdogo ambaye hata hakujua nini anafanya? na athari zake hakuzijua? dini inawatuma kufanya vitu bila kufikiri na kutathmini mapana na marefu kwanza?....ninyi pia mnahubiri, sisi pia tunahubiri...lakini hapa kwenye kutumia nguvu, nani anawatuma? mbona Mungu wetu sisi anakataza mafujo na ugaidi huu wakati mungu wenu allah anaruhusu, nani Mungu wa amani na ipi ni dini ya amani hapo? makanisa yetu yamekosa nini? uyo mtoto alitoka kwenye makanisa hayo? unasema kitendo kilichofanywa si cha kiungwana, hivi hamjui kama wale walikuwa ni watoto wadogo? watoto wenu huwa wanafanyi mambo ya kitoto? mtoto ana uungwana? hivi akili zenu huwa mmeziacha wapi nyie mbona mara nyingi naona kama mmebaki makopo tu?
 
Hivi kuna Mungu wa Waislamu na Mungu wa wakristo au ni mmoja tu? Kama ni mmoja tunagombania nini sasa au ni ubinadamu zaidi kuliko hata huyo Mungu?

Kufuatana na matendo ya watu na chuki za kidini, ni dhahiri kuwa MUNGU WAO NI TOFAUTI.MUNGU MMOJA anaruhusu waumini wake kuua wengine kama namna ya kumtetea, wakti Mungu mwingine hahitaji mwanadamu kumtetea bali atahukumu mwenyewe siku ikifika.
 
let us teach our children what is truth, jaman hakun na wala haitakaa itokee siku mtu akojolee au afanye chochote kibaya kwenye kitabu chenye maandiko matakatifu kama BIBLIA na QURAN ageuke kichaa au nyoka.WAISLAMU acheni kuwadanganya watoo wafundisheni vitu vya kweli na sio viyu vya kutisha na kuwaogopesha,

kama mtu anaweza kugeuka kuwa nyoka simply becouse kakojolea hicho kitabu basi kuna walakini kwenye hicho kitbu
 
Ukuona jambo baya linatokea. lizuie kwa mikono yako, au kwa kusuluhisha kwa maneno, kama yote haya utashindwa basi lichukie. yes waislam wamelikataza kwa mikono yao...
 
tatizo kwa waislam mkojo ni najisi ila kwa wakristo wasioamini agano la kale sio najisi-uchafu
 
hivi kuhubiri ni sawa na kufanya fujo kufanya uharibifu? how can you compare kuhubiri na kushambulia makanisa na mali za watu kwa kitendo kilichofanywa na mtoto mdogo ambaye hata hakujua nini anafanya? na athari zake hakuzijua? dini inawatuma kufanya vitu bila kufikiri na kutathmini mapana na marefu kwanza?....ninyi pia mnahubiri, sisi pia tunahubiri...lakini hapa kwenye kutumia nguvu, nani anawatuma? mbona Mungu wetu sisi anakataza mafujo na ugaidi huu wakati mungu wenu allah anaruhusu, nani Mungu wa amani na ipi ni dini ya amani hapo? makanisa yetu yamekosa nini? uyo mtoto alitoka kwenye makanisa hayo? unasema kitendo kilichofanywa si cha kiungwana, hivi hamjui kama wale walikuwa ni watoto wadogo? watoto wenu huwa wanafanyi mambo ya kitoto? mtoto ana uungwana? hivi akili zenu huwa mmeziacha wapi nyie mbona mara nyingi naona kama mmebaki makopo tu?

Matusi hayatakusaidia kitu, mtoto wa miaka 14 kufanya kitendo alichokifanya katika mazingira yoyote ni ukosefu wa adabu wa imani za watu wengine. Mtoto wa umri huu keshapata mafunzo ya kutosha kutoka kwa viongozi wa kidini na huenda alichokifanya ni matokeo ya mafundisho ya watu wa aina yako.
 
Mungu wa kweli ni Yesu peke yake, na sisi ha2mtetei wala kumpigania, yeye ndo anatutetea, anatuvusha ktk bonde la uvuli wa mauti, na kutulaza kando ya maji ya utulivu! Ndugu zangu waislam kuua wa2 wasio na hatia ni kuendelea kumuudhi Mungu. Nawasihi mgeuke na mumpokee Kristo Yesu ili siku ya mwisho tuwe nae mbinguni!
 
Binafsi nitoe hoja kwenye kisima cha hekima kidogo niliyojifichia,

Kwanini Binaadamu, watanzania, tuumizane, tutukanane, tuvunjiane heshima na mwisho wa siku keki ya Amani ipasuke na tuingie kwenye vurugu za UDINI juu ya Mambo ya Kiimani..

Aliyekojoa hakujisaidia kwenye kitabu changu, wala chako, wala cha serikali, wala si katiba ya chama chochote cha kisiasa bali amejisaidia kwenye KITABU cha mnyaazi mungu, sasa kwanini tusimuachie HUYO huyo mnyaazi mungu Mwenyewe amuadabishe, Je sisi Binaadam Kumuadhibu ina maana sisi tuna Nguvu Kuliko Huyo mungu aliyekojolewa kitabu chake? je sisi tunaweza kumtetea Huyo mungu?

Mimi sioni sababu ya kumvunjia huyo mungu heshima kwa kumsaidia kuwaadhibu watu badala ya kumwacha yeye mwenyewe kama yupo basi afanye vitu vyake na binaadamu waone na wawe na utii kwake. ni hoja yangu kama hujaipenda hakuna ubaya ukapita tu..
Mkuu Tamko umenichekesha sana.Yaani niko hoi.Umeongea sana.Be blessed
 
..akikojolea atakuwa chizi haaaaaaa! Mungu si crashwise si wakawa machizi wao acha wavunje vioo vya magari ya watu, acha wachome makanisa..inawezekana kuna makosa ya kutafasili vitabu hivi
 
Mad rasta imeonyesha uongo! Kojolea Quran huwi
Kichaa ila watu wataandamana na kuchoma makanisa

Ningewapongeza hawa waandamanaji iwapo kama wangeenda kunyea kitabu cha mtoto aliyekojolea Quran. Sio akili timamu kwenda kuvunja makanisa. Hivi hao waumini nao wakienda kuvunja misikiti itakuwa vipi?. Serekali isiyalee haya matukio kwa kuendelea kuyaonea aibu.
 
Jamani hata kama ni akili za matope hizi zimekuwa zaidi... Ugomvi wa watoto wewe mtu mzima na akili zako na hekma ya mnyazi mungu aliyokupatieni kweli kabisa, ona hasara hiyo, haya niulize ka swali ka kizushi: Hayo makanisa, wachungaji au waumini ndo waliokojolea?
 
Nenda Bookshop kanunue Biblia kisha ukitoka nje ichane uone kama kuna mtu atakugusa. Hata muuzaji akikuona unatudi ndani kununua kitabu kingine bado atakuuzia tuu. Sii umechana kitabu chako shida ya nini? Hilo halihusiani na Imani ya mtu mwingine. Na wakristo wanaamini kama umetenda kufuru kwa MUNGU yeye mwenyewe atajua akufanye nini sio wajibu wetu kuhukumu.
 
Na wale wanaopita majumbani kwa watu wakihubiri wanamsaidia nani? mbona nae asijisaidie mwenyewe kuhubiri imani yake. Sio hoja hii
Ukweli ni kwamba kitendo kilichofanywa na huyo kijana si cha kiungwana, lakini pia waislamu hawakupaswa kuchukua maamuzi ya kukurupuka kihivyo. Walipaswa kufanya subira ili wajue ukweli wa jambo lenyewe, huenda watoto walikuwa wanacheza tu.

wewe kweli super! Nimependa busara zako.
 
mimi ni jirani na hapo church na nimeenda kushuhudia kilichotokea ni kweli kama mtoa mada anachosema
1.wamechoma magari moto
2.wamevunja madhabahu ya kanisa
3.wameiba keyboard kubwa yenye gharama ya kama 6m
4.wamevunja vioo vya kanisa.

.
Kwa hiyo wameyafanya haya kova akiwa studio za Itv? Na wasaidizi wake walikuwa wapi? Sipati picha.
.
 
Duh! Kaka nakuunga mkono maana inawezekana mtoto alikuwa anatest na sio inawezekana bali ni kweli alikuwa anatest hivi kisemwacho ni kweli? Akajua ni uongo... Ilitakiwa hata yule aliyemwambia mwenzake ashutuke kwa kuona kumbe hakuna chochote kinachoweza kutokea na kugundua kwamba kumbe huwa wanalishwa matango pori huko wanakokaririshwa uongo
hivi kuhubiri ni sawa na kufanya fujo kufanya uharibifu? How can you compare kuhubiri na kushambulia makanisa na mali za watu kwa kitendo kilichofanywa na mtoto mdogo ambaye hata hakujua nini anafanya? Na athari zake hakuzijua? Dini inawatuma kufanya vitu bila kufikiri na kutathmini mapana na marefu kwanza?....ninyi pia mnahubiri, sisi pia tunahubiri...lakini hapa kwenye kutumia nguvu, nani anawatuma? Mbona mungu wetu sisi anakataza mafujo na ugaidi huu wakati mungu wenu allah anaruhusu, nani mungu wa amani na ipi ni dini ya amani hapo? Makanisa yetu yamekosa nini? Uyo mtoto alitoka kwenye makanisa hayo? Unasema kitendo kilichofanywa si cha kiungwana, hivi hamjui kama wale walikuwa ni watoto wadogo? Watoto wenu huwa wanafanyi mambo ya kitoto? Mtoto ana uungwana? Hivi akili zenu huwa mmeziacha wapi nyie mbona mara nyingi naona kama mmebaki makopo tu?
 
Nenda Bookshop kanunue Biblia kisha ukitoka nje ichane uone kama kuna mtu atakugusa. Hata muuzaji akikuona unatudi ndani kununua kitabu kingine bado atakuuzia tuu. Sii umechana kitabu chako shida ya nini? Hilo halihusiani na Imani ya mtu mwingine. Na wakristo wanaamini kama umetenda kufuru kwa MUNGU yeye mwenyewe atajua akufanye nini sio wajibu wetu kuhukumu.



Una akili sana wewe. Mungu akuzidishie upeo wa kuona mbali na hekima tele. Eneza neno la Mungu kwa kuwapa somo ndugu zetu waislam. Amina!
 
Back
Top Bottom