Mbona Lukuvi huwa anasimama muda wowote anaotaka na ndugai hamwambii kaa chini. Ameshaingilia hotuba nyingi tu za kambi ya upinzani na ndugai hasemi neno. Acha maneneo yako yasiyotaka kujenga bali kubomoa.
Bunge linaendesha na sheria na kanuni haliendeshwi kama disco.Ndugai ana inferiority complexion na imemfanya awe aggressive when it comes to challenges from opposition. Nachokiona, huwa anaathiriwa na hisia za ukomozi kiasi ana-loose control.
Wabunge wa CCM na wa chama mke chao ni wanafiki na hawana wanacholenga bungeni zaidi ya kukataa kila litakalosemwa na CDM, liwe lenye msaada ama lah, wao jukumu lao ni kulikwamisha.
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu, leo hii unaunda Bunge Maalum kwa ajili ya makundi mbali mbali ya kijamii, halafu wawakilishi wa makundi hayo wasichaguliwe na wenye makundi wenyewe bali wachaguliwe na mtu ambaye wanaenda kupingana na mamalaka yake, ni nini hicho kama sio unafiki mbaya uliopitiliza mahitaji ya unafiki ya nchi nzima?
CCM walipoona ongezeko la wabunge wa CDM bungeni, walifanya kila njia kuona kuwa Samwel Sitta hawi spika ili waweze kuweka such unfit persons on chair waweze kupitisha hoja dhaifu kwa ubabe.
Na kuna kitu kinanishangaza sana: MBONA NAIBU SPIKA ANAENDESHA VIKAO VINGI VYA BUNGE AS IF SPIKA HAYUPO?
kanuni hizo ni pamoja na kutoa nafasi kwa KUB kuzungumza. Sio hisani ni kanuni!Bunge HALIENDESHWI kwa matakwa ya Mbowe au mbunge mwingine yeyote. Bunge huendeshwa kwa kanuni za bunge na ni wajibu kwa wabunge kutii kanuni hizo.
ni mauaji aliyofanya ******, yanamuandama
With a light touch - makosa ni kumwalika bondia Francis Cheka Bungeni maana aliwahamasisha kupigana ngumi! hata hivyo nakuunga mkono kabisa kuwa mabadiliko ya mfumo kuingia vyama vingi hayajabadilisha 'mind-set' ya watu wengi na hasa walioko kwenye Chama tawala kwani bado wnatembea na Party Supremacy. Naibu Spika anashangili na kujisifu kutoa amri inayozua vurugu bungeni na kuona kwake kashinda! Ni ajabu! Lakini ukiangalia matukio yenyewe ni dhairi pande zote zilikuwa zimeandaa yaliyotokea. Upinzani walidhamiria kusimamisha mjadala na watawala (kwa kutumia naibu Spika) walikuwa tayari kwa kuwatoa nje, na askari waliandaliwa kabisa kwa shughuli hiyo.
Yeye ni kiongozi ndio maana hupewa nafasiMbona Lukuvi huwa anapewa fursa mara kwa mara bila ya utaratibu? Ingekuwa busara tu kumsihi Mbowe amsubiri Mrema then atamruhusu kuongea kuliko kumwambia kaa chini kwa dharau!!!