Vurugu za jana Bungeni: Chanzo ni Mhe. Job Ndugai!- Ni Dikteta Hatari Kuliko Spika Anne Makinda!.

Ndugai waukweli sana tu! Big up! Endelea ivo ivo ikiwezekana askal wa bunge wawe na mabom ya machozi na maji ya kuwasha ili kuzima vurugu zote za wapinga mada! Shenzi!!!!!
 
Katika watu wasiokuwa na nidhamu na wanaongozwa na jazba ni ndungai..huyu mtu anaonekana anakunywa pombe kali sana,sasa matatizo yake ya nyumbani anayaleta bungeni..hv ile jana angempa kub dakika mbili tu then kumsikiliza ingempunguzia nini..haya masifa anayotafuta huyu ndungai ni ya nini? Mtu mwenyewe inaonekani ana hangover 24hrs.

>Atakuwa muumini mkubwa wa virobaa...
 
Bunge linaendesha na sheria na kanuni haliendeshwi kama disco.

Tatizo kubwa la Mbowe ni elimu hauwezi kuwaongoza watu wakati hauna elimu.

Akili ndogo kuongoza akili kubwa.

>Vipi Mulugo asiye na elimu kuwa waziri mdogo wa elimu?
 
Kama kuna siku nimejisikia vibaya na fedheha ni kuona drama ya jana. Ningetamani wasababishaji wote wa chaos ile bila kujali nafasi zao wapewe adhabu kali sana.
 
Huyu HAMMY-D anatoa wapi nguvu ya kutetea ujinga wa CCM,mimi ninaelipia Kadi ya CCM kwa kipato halali Siwezi kutetea Ujinga unao dhalilisha CCM,au analipiwa Kadi yake
 
Sikubaliani na mleta mada kwenye hili la kumuita NS dikteta. Kama kweli hoja yako ina mashiko, hilo la kuhusu udikteta, basi malalamiko yangetolewa na wabunge wapinzani wengi pale bungeni juu ya mwenendo wa bwana Job Ndungai kuhusu namna ambavyo anaendesha bunge. Lakini jambo la kushangaza ni kuona kijikundi kidogo cha wabunge ndicho chenye fujo, ukaidi na kibuli katika kutii kanuni za bunge. Hivyo mleta mada uchambuzi wako kwenye hili ni mwepesi mno kukufanya uhitimishe kuwa Job Ndungai ni dikteta.

this Hamy d is also a disaster.
 
Kwa kweli job ndugai,hana hekima hata kidogo.Anachofanya ni kujipendekeza kwa viongozi wanene tu,Hata siku ile walipokuwa wanahojiwa na TLissu kwenye tv,alionesha udhaifu mkubwa sana.Alikuwa anafoka kiasi hata mtangazaji wa tv,akawa anamtuliza kwa kumsihi apunguze jazba,ndugai ni garasa.
 
Hata makind nae ni dictator lisura tu ka sehemu za siri,ndugui ni woga umemjaa,ni hizi chuo ali-sup sup sana ndo maana anwaogopa akina Lisu,ndo maana mke kamkimbi na kajaa stress mimeno tu pumb......avu
 
tumeshaeleza mara nyingi kuwa NDUGAI ni janga katika uendeshaji wa shughuli za bunge. Imagine jana jioni angekuwa na akili ya kujipima angeona kuwa alikuwa failure kama Speaker kuendesha mjadala wa mswada muhimu kama ule bunge likiwa one sided.

Zaidi ya hapo alishindwa kuwapa keel wachangiaji ambao ni ccm kwa kutowarudisha kwenye mada badala ya kupuyanga na kushambulia personalities za watu na vyama vya upinzani. kama angemudu kuwaweka on keel wabunge "wake" angepata heshima - lakini la kuvunda halina ubani.
 
Sikubaliani na mleta mada kwenye hili la kumuita NS dikteta. Kama kweli hoja yako ina mashiko, hilo la kuhusu udikteta, basi malalamiko yangetolewa na wabunge wapinzani wengi pale bungeni juu ya mwenendo wa bwana Job Ndungai kuhusu namna ambavyo anaendesha bunge. Lakini jambo la kushangaza ni kuona kijikundi kidogo cha wabunge ndicho chenye fujo, ukaidi na kibuli katika kutii kanuni za bunge. Hivyo mleta mada uchambuzi wako kwenye hili ni mwepesi mno kukufanya uhitimishe kuwa Job Ndungai ni dikteta.

NDG. HAMN , KWELI UMEISHIWA. PAMOJA NA UFAFANUZI ALIOTOA MLETA MADA BADO UKO NUNDA TU POLEEEE. HUELEWI MAANA YA BUSARA WEWE , KAMA KUB ANGEPEWA DK. 2 KUNGEKUWA NA LIPI BAYA ? MNATUMIA UDIKTETA ILI MUENDELEE KUTUIBIA. LAKINI MUNGU YUPO IKO SIKU MTAJIELEZA HAPAHAPA D.:ban:
 
ndugai waukweli sana tu! Big up! Endelea ivo ivo ikiwezekana askal wa bunge wawe na mabom ya machozi na maji ya kuwasha ili kuzima vurugu zote za wapinga mada! Shenzi!!!!!

wewe madawa ya kulevya twakufahamu mno, ni mganga njaa tu.
 
Sikubaliani na mleta mada kwenye hili la kumuita NS dikteta. Kama kweli hoja yako ina mashiko, hilo la kuhusu udikteta, basi malalamiko yangetolewa na wabunge wapinzani wengi pale bungeni juu ya mwenendo wa bwana Job Ndungai kuhusu namna ambavyo anaendesha bunge. Lakini jambo la kushangaza ni kuona kijikundi kidogo cha wabunge ndicho chenye fujo, ukaidi na kibuli katika kutii kanuni za bunge. Hivyo mleta mada uchambuzi wako kwenye hili ni mwepesi mno kukufanya uhitimishe kuwa Job Ndungai ni dikteta.

mi nimemuelewa mtoa hoja tena vizuri kabisa.....wewe waweza kuwa hujamuelewa kutokana na interest zako ama kwa kutokuwa na akili ya kutosha kuelewa...
 
Kama naibu spika mzima hajui ana watoto wangapi we unafikiri atakuwa na akili sawasawa kweli ndungai ni zaidi ya janga..
 
Mkuu Pasco; Umemaliza kila kitu. Niongeze tu kwamba Ndugai pia anasumbuliwa na mambo yafuatayo: Moja hajiamini hivyo kwa upande mmoja anataka kujikomba kwa chama chake na upande mwingine anajaribu kushindana na kivuli cha Sita aliyejizolea sifa ya kuwa spika bora. Pili ni muoga sana wa mijadala mikali na yenye maamuzi magumu, hivyo always anajaribu kutafuta escape route kwa either kupindisha/ kutoa biased interpretation ya vifungu vya kanuni au maamuzi ya ajabu ajabu kama kufukuza ovyo wabunge. Hivi tujiulize hoja ya richmond ingemkuta Ndugai ingekuwaje??? Tatu Ndugai hawezi kudhibiti hasira zake, ndiyo maana akikutana na wabunge na wanasheria makini (wenye uwezo wa kumprovoke mtu ili ashindwe kupanga hoja zake e.g akina Lisu na wengine) kwenye mijadala mikali na mizito huishia kutoa majibu ya jumlajumla (fuatilia vipindi vingi kwenye TV anavyoshriki).Pia inaonekana hashauriki maana taarifa zilizopo ni kwamba ameshatahadharishwa kwamba anachangia sana kuharibu mwenendo mzima wa bunge na watu wengi, hata kwenye chama chake; pia hajifunzi/hataki kujifunza kutoka mabunge mengine. Juzi tumeona mabunge ya Uingereza na Marekani yakichuana vikali sana lakini kwa hoja ya kuingia vitani Syria but huwezi kusikia haya ya hapa kwetu. Mwisho kazi kubwa tunayo sisi watanzania tunaoshabikia matendo kama haya ya Ndugai kwani sisi ndio waathirika wakubwa wa sheria wanazopisha hawa wabunge bila kujali chama. Mfano mzuri ni SIMCARD TAX ya majuzi, wengi tumepiga kelele saaanaaa, tena hiyo ni Sh 1000/ na maajabu ya mungu eti wabunge wengine hawa hawa nao wanashangaa!!! Washingae kwa nini wakati muda wa kupitia miswada critically na kuichallenge serikali hawana kwani wako bize kuandaa vijembe, lugha chafu na mipasho!! Sisi badala ya kuungana na kukosoa kiti kwa nguvu zote ili waone aibu bado tunatetea. Sina hakika kama hili Bunge limeihoji maamuzi mazito ya serikali kama kupeleka majeshi Kongo kama wanavyomenyana wenzetu huko Uingereza na Maerkani.
 
Back
Top Bottom