Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Zilikuwa mbili. Juu kuelekea kota za Walimu na karibu na jumba askofu au tennis court. Nadhani na bwawa la kuogelea lishakufa...
Duh hata mimi niliacha tennis court ila haina zile net, basket ball court bado ilikuwa na mbao nzee na b.court ile kule kwnye kota za waalimu ilikuwa ishakufa..na kule bwawa la kuogelea halikuwa na maji ilkuwa ishafanywa msikiti eneo la msikiti...
 
Duh hata mimi niliacha tennis court ila haina zile net, basket ball court bado ilikuwa na mbao nzee na b.court ile kule kwnye kota za waalimu ilikuwa ishakufa..na kule bwawa la kuogelea halikuwa na maji ilkuwa ishafanywa msikiti eneo la msikiti...
Mskiti tena? Bwawa ndiyo basi tena siyo?
 
Najiuliza hizo shule kwa wakati huo hakukuwa na usimamizi...serikali!?...polisi!?..vijana wa zamani walivuta bangi au..kw sasa hakuna mambo ya ajabu kama hayo.. vijana wa now wamechill
 
Siyo kumbu kumbu nzuri sana; Lyamungo ni Jeshi maana hata Stream zilikuwa ni J,K & T badala ya A,B& C mlizizoea kwingine.Mazoezi yake ni Infrequent Soweto na kupakia lorry TX la Mzee Murri kwenda shambani Weruweru.Watu na majembe hupakiwa gari likiwa speed 50-60 km/h without injuries.
Inafikirisha lakini!

Lyamungo walikua na vurugu sana, walikua wakija kwenye graduation weruweru wanalazimisha kuingia ata kama walialikwa watano wao wanakuja kiringi
 
Umbwe na vyoo vya shimo. Tena vimejengwa kinyume cha miongozo ya ujenzi. Vinajengwa mlimani afu mabweni bondeni kha! Any way ila Ile shule ni ni mti safi hata huku nje tunatambuana na kusalimiana kama mti safi.
Poleni mlioshuhudia vifo vya mapigano at that age.
Tulikua tunaita maputo
 
Kale kachumba kakubadilishia nguo pale swimming pool ndio tulikua tunatumia kama msikiti. Sijui sasa hivi kama walijenga
Kuna mwanafunzi alikufa kwenye swimming pool miaka ya nyuma ndio kisa likaacha kutumika. Yeah, kile ki changing room cha kuogelea karibu na mashamba ya kahawa ndio ilikua sehemu ya Waislamu kuswali
 
Back
Top Bottom