Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,299
Dah, inasikitisha sanaKijana wa umbwe aliyeuliwa alikua anaitwa Ayubu
Hadi Leo Kuna kitanda chake kikiwa kimetandikwa vizuri na vitu vyake baadhi vilevile, Kama sehem ya historia ya kumuenzi
Dah, inasikitisha sanaKijana wa umbwe aliyeuliwa alikua anaitwa Ayubu
Hadi Leo Kuna kitanda chake kikiwa kimetandikwa vizuri na vitu vyake baadhi vilevile, Kama sehem ya historia ya kumuenzi
Form four ya 2009 ilikuwa na watukutu wengi sana, dozlepa, people a.k.a pascal alikua ananenepea shule akienda likizo akirudi amekonda, mmarekani alitaka kumkata mapanga mwalimu asengaHuu uzi bado unakumbukwa.? Nimekumbuka 2005 naingia umbwe. Namkumbuka kiongozi wa bweni alikuwa broh mmoja kwa jina Jumanne ( J4 ) ambae swahiba wake alikuwa jamaa mmoja mkimya mno wa kuitwa Hamis.. J4 alikuwa muongeaji na mtu poa sana. Nakumbuka hata kucheza nae sodo nje ya bweni pale dom 10.
2009 tulikuwa tumeshasepa wengine. Ila form 4 ya wakati huo ndio ilikuwa full mavurugu ngumi nje nje. Huu uzi umenikumbusha kaka zangu wengi ambao walikuwa wanafanya naifurahia shule kama akina Fredy Mrema, Carlo, Jose Mpenenge, Joshua kiparaa n.k....
Huu uzi umenikumbusha nyakati hizo. Nafikiri hasira ya umbwe ilichangiwa zaidi na brothers waliorudi pale form five baada ya kumaliza form 4 2007.. Hawa nafikiri walikuwa wanaujua mzozo wa umbwe na lyamungo zaidi ya wengine wote waliokuwepo wakati huo. Kama wapo humu watasema ukweli.
2001 ikatokeaga vurugu hatari.Umbwe my school... Enzi zetu Umbwe na lyamungo tulikuwa marafiki. Kimichezo na kiimani, tulienda umeseta lyamungo na Lyamungo walikuja Umbwe. Misa za Centre tulisali pamoja. Miaka ya 1999 huko.
Mbaya sana hii kwa vijana wanaokua.Mob psychology ukiongezea na ujana inaweza kusababisha balaa kubwa sana na majuto ya hali ya juu.
Vijana wapya walikuwaga wakishangaa mlima pale kipindi cha baridi kinapoisha na kuja wakati wa jua mlima unatokelezea vizuri. Wanashangaa sana hahahahaForm four ya 2009 ilikuwa na watukutu wengi sana, dozlepa, people a.k.a pascal alikua ananenepea shule akienda likizo akirudi amekonda, mmarekani alitaka kumkata mapanga mwalimu asenga
Sure leo tunadunda lakin tulimpoteza mwenzetu kwa ujinga wa ushawish wa wachache wetu, leo pia angekuwa .mtaani kama sisiMbaya sana hii kwa vijana wanaokua.
Umenikumbusha zile stream zetu za jktu. Unapiga chui la manase na mzee kusukuma ngari. Ukizingua unapigwa na mpini wa jembe. Kina mwalim Sandi marenge lyaruu comrade shoo chini ya Isack malisa.Siyo kumbu kumbu nzuri sana; Lyamungo ni Jeshi maana hata Stream zilikuwa ni J,K & T badala ya A,B& C mlizizoea kwingine.Mazoezi yake ni Infrequent Soweto na kupakia lorry TX la Mzee Murri kwenda shambani Weruweru.Watu na majembe hupakiwa gari likiwa speed 50-60 km/h without injuries.
Inafikirisha lakini!
Lyamungo ni kawaida yao kuonelewa Miaka ya 80Umenikumbusha zile stream zetu za jktu. Unapiga chui la manase na mzee kusukuma ngari. Ukizingua unapigwa na mpini wa jembe. Kina mwalim Sandi marenge lyaruu comrade shoo chini ya Isack malisa.
Tulirudishwa njiani tukalala vizuri kesho yake ilikuwa noma mimi yenyewe nilikuwa nakaa Agrey Dom leader alikuwa Abubakari KateraMkuu hapa kulikuwa na ka likikzo kama wiki 2 hivi sisi wa mbali na wengine ambao hawataki kwenda home tukabaki, sheria ikapitishwa kuwa ili ule lazima uwe umefanya kazi ya kusomba kuni na huko huko kazini mwalimu na viranja wanoko wanakupa kuponi ambayo ndo tiketi yako ya kuingia jikoni, hatujakaa sawa Headmaster Sanga akatangaza kuwa kipindi chote hicho cha likizo hamna kula wali! Vijana tukaona miyeyusho usiku mapema sana tukaenda kwa headmaster tukamsaidia kushusha vioo vya nyumba yake chini! Kesho yake defender kama 3 na FFU waliovalia zana zao wakatupa nusu saa ya kuondoka na hawakutaka hata mtu aache kivuli chake! Kwakweli mm sikwenda kwetu maana nlipiga hesabu ya 120k kwenda na kurudi nikaenda kwa mshikaji wangu kule Uchira tukapata dili la kupalilia mahindi heka moja 40k na kunyunyizia dawa, knapsack spray 1 tsh 3000, likizo ikaisha nikiwa don ila kwa sababu ya ujinga sikuchukua tahadhari wkt wa kupulizia dawa nikababuka mgongo wote! Nilirudi shule nikiwa na nido, sukari, blue band za kutosha room ilkuwa happy sana! Nilikuwa nakaa bweni la Aggrey
Mkuda yupi?Mkuda yupo?
Mwl mbiseMkuda yupi?
Sijui kama bado yupo mkuu nimemaliza pale muda kidogo umepitaMwl mbise
Atakua ameshastaafu sisi tumemaliza 2002 alikua ana kama 50 +Sijui kama bado yupo mkuu nimemaliza pale muda kidogo umepita
We jamaa huwenda tunafahamiana pia 😊Jamaa walimuulia uwanjani karibu na bweni ka mkapa,. Niliposoma uzi huu nimejikita ninawaza mengi ila mkuu washule wa lyamungo kipindi hicho wandiba alikua mtu wa kuchochea ghasia maana ninakumbuka tulienda pale form 5 tukakuta o,lever wanapiga fimbo usiku kama nn ila wandimba alikua akituelezea komaa nyie ni wakiume. Dah ninatamani tuwasiliane na ww mtoa uzi wenda tuna fahamiana.
Nakumbuka dereva alikuwa Baba Adam a.k.a suka mke wake alikuwa anapika maandaz na chai afu vijana ilikuwa full kumpiga mbupuSiyo kumbu kumbu nzuri sana; Lyamungo ni Jeshi maana hata Stream zilikuwa ni J,K & T badala ya A,B& C mlizizoea kwingine.Mazoezi yake ni Infrequent Soweto na kupakia lorry TX la Mzee Murri kwenda shambani Weruweru.Watu na majembe hupakiwa gari likiwa speed 50-60 km/h without injuries.
Inafikirisha lakini!
Schoolmate 🕵️Atakua ameshastaafu sisi tumemaliza 2002 alikua ana kama 50 +