Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)


kwa formula ya CDM inawezekana kwa zile za usalama si kazi nyepesi kuzuia msafara wa Rais kama unavyozuia raia wa kawaida.... kumbuka kabla Rais hajapita njia imejaa wanausalama wenye mavazi na wasio na mavazi.

kabla hajazuiawa taarifa zinafika...
 
watu wamechoka kuonewa na maeneo yao kudhulumiwa na matajiri.
 
kwa formula ya CDM inawezekana kwa zile za usalama si kazi nyepesi kuzuia msafara wa Rais kama unavyozuia raia wa kawaida.... kumbuka kabla Rais hajapita njia imejaa wanausalama wenye mavazi na wasio na mavazi.

kabla hajazuiawa taarifa zinafika...

Mama Porojo, naomba nikuulize swali rahisi, msafara wa rais, tena huyu aliye madarakani haujawahi kuzuiwa na wananchi?Mpaka akaongea nao? kma jibu ni Yes, ilikuwaje?
 
watu wamechoka kuonewa na maeneo yao kudhulumiwa na matajiri.
 

Hakuna linaloshindikana chini ya jua hasa pale mlalahoi anaposema amechoka! Elewa wananchi wamemchoka JK ingekuw ni amri yao kuchagua kiongozi mwingine now wangefanya hivyo. Kuuzuia msafara wa rais ni kazi ndogo sana watu wakiamua. Ingekuwa mie ndio JK ningesoma alama za nyakati pia elewa watu wanjaua ratiba yake kuwa leo lazima aende mlingotini kila Ijumaa njia anayotumia ndio hiyo hiyo mara zote.

"DHAIFU" hapendwi tena watu wamemchoka na serikali yake "LEGELEGE!"
 
Mambo mengine mleta Mada kachanganya habari. Mosi kulikuwa na Uvunjaji wa nyumba hapo Namanga- Tegeta kwa hiyo kulikuwa na Mabaunsa waliokuwa wakifanya fujo ndipo Polisi wakaingilia kati. Kupita kwa Rais hakuna uhusiano na tukio hilo

siasa ndugu ziko kila sehemu kutufanya sisi wajinga
 
Mods hii ingeenda kule kwenye udaku + utani ingependesa sana aisee :A S shade:
 
Mama Porojo, naomba nikuulize swali rahisi, msafara wa rais, tena huyu aliye madarakani haujawahi kuzuiwa na wananchi?Mpaka akaongea nao? kma jibu ni Yes, ilikuwaje?
Ninatamani kujibu kwa niaba ya MAMA POROJO sina uhakika kama kuna mahali msafara wa rais uliwahi kusimamishwa na yeye akakubali kusimama bila ruhusa ya wana usalama. Msafara wa Rais umekuwa mara nyingi ukizuiwa wakati wa kampeni na si wakati akiwa yupo kwenye shughuli za kikazi. Hata wakati wa kampeni kwenyewe kuna baadhi ya maeneo ambayo Rais halazimika kupunga mikono tu na si kusimama. Yote hayo yanategemeana na taarifa za wanausalama. Hivi msafara wa Rais muusimaishe tu popote akiuawa? Au hujui kwamba kila anachokifanya ni lazima kihakikiwe na vyombo vya usalama? Taratibu mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Msafara WA rais umezuiwa NA wananchi maeneo ya tegeta basi haya NA watu wawili wamelipotiwa kufa akiwemo asikari WA usalama NA mwananchi mmoja.
 
Reactions: PPM
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…