matwi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 276
- 65
asante man yani huo mteremko ni mkali we ukikaaa si unaona kama wale jamaaa wa tochi hawapo haswa mida ya jioni malori wakiweka free toka SADC pale linakuja stuliwa hapo posta na matuta hawataki ati ni international road basi watu wa tochi wakae 24 hrsPole bro, umeona polisi wanavyotetea wauaji? Toka ile down ya kilala > makumira > transfoma(chuo) > mshikamano > danish bamsi unazikuta posta. Embu angalia hiyo down ilivo na madaraja, moteremko na makona. Watu wanagongwa daily, magari yanazama mtoni daily. Wananchi wakidai wanapigwa bomu na risasi.
Kaka hatuwaombei hawa jamaa mabaya lakini ngoja na wao yawakute tuone kama watajipiga mabomu. Kiukweli inauma sana