Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 256
Kuna fujo znaendelea kati ya machinga na mgambo wa jiji..mgambo wamepgwa sio kawaida,polisi ndo wameingia kusaidia hapafai watu wamefunga maduka wananchi wanakimbia kila mtu anatafta kujiokoa
UPDATES
taarifa zilizopatikana ingawa hazijathibitishwa ni kwamba mgambo mmoja mwanamama amefarik dunia baada ya kupgwa sana na machinga hasa maeneo ya kchwani
UPDATES
taarifa zilizopatikana ingawa hazijathibitishwa ni kwamba mgambo mmoja mwanamama amefarik dunia baada ya kupgwa sana na machinga hasa maeneo ya kchwani