kuna mtu amekuja ofsin kwetu anasema ameskia clouds fm ila hana info ndo tunataka kupata uhakika mkuu
hujaeleweka kabsaa.
Kuna vurugu za waendesha pikipiki wamewauwa kwa kuwachoma moto wezi wa pikipiki wanadai wamechoka kuuliwa na kunyanganywa pikipiki zao .
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Walio korogwe watujuze ,ni kweli kimenuka huko?
kuna mtu amekuja ofsin kwetu anasema ameskia clouds fm ila hana info ndo tunataka kupata uhakika mkuu
kuna mtu amekuja ofsin kwetu anasema ameskia clouds fm ila hana info ndo tunataka kupata uhakika mkuu