Kitendo cha kuridhia Lema awawakilishe kwenye media kubwa kama ya DW tayari ni tatizo. CHADEMA wangempeleka Lissu kwasababu angalau anaonekana kuwa na hoja ya kuweza kupambana na mtu makini kama Nape.
Lema kitakachokuwa kinaongea ni majani tu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Unazungumzia Majani yapi labda,! au Unazungumzia yale majani aliyoyafuga Mama yako chini ya Miguu!?
Leo unamsifia Lissu lakini ni wazi kwamba, umefanya hivi, ukidhani kuna Watu watasapoti huu ujinga,ulio post hapa, eti kwa vile tu unamkubali Lissu, lakini humkubali Lemma!
Ingekuwa ni Lissu aliekua anahojiwa, ungesema kwanini Chadema isingempeleka mtu kama MNYIKA!!
Wewe ya Chadema yanakuwashia nini? Hii ni sawa na Mama yako anakazwa kule wewe Unakatika huku!! Si usubiri zamu yako ikifika si Utakazwa tu,Haraka za nini!??
Katika siku ambazo Mh,Lemma ameongea Poits tupu, basi ni Leo, ila kwa Magamba Lema ni sawa na Paka na Mbwa!
HONGERA sana Kamanda Lema! Usiogope Mungu yu Pamoja nawe! Endelea kupigania haki na Usawa!
HERI VITA INAYO TAFUTA HAKI, KULIKO AMANI INAYO PUMBAZA NA KUUDHALILISHA UTU NA HAKI YA MWANADAMU!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!!!!
MUMGU IBARIKI CHADEMA!!!!