Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,930
- 2,554
Wana jf Mh. Lema na Nape wako live DW radio sasaivi kuhusu vurugu zilizotokea bungeni !
Lema anadai Demokrasia inafunikwa na ccm
Nape; wabunge wengine hawaheshimu viapo,wamekosa hoja wanatafuta namna yoyote ili kuleta fujo
Nape; Chadema wanatoka nje ya bunge kwa ujinga wao !
Mwandishi; CCM hawako tayari kukosolewa ndo maana wanaover react
Lema; Siwezi kutii sheria yoyote inayo kandamiza wanyonge
Lema; anasisitiza kinachotokea ni ukandamizaji wa demokrasia na wakitafuta fursa ya kusema wananyimwa kutokana na uchche wao
Lema anadai Demokrasia inafunikwa na ccm
Nape; wabunge wengine hawaheshimu viapo,wamekosa hoja wanatafuta namna yoyote ili kuleta fujo
Nape; Chadema wanatoka nje ya bunge kwa ujinga wao !
Mwandishi; CCM hawako tayari kukosolewa ndo maana wanaover react
Lema; Siwezi kutii sheria yoyote inayo kandamiza wanyonge
Lema; anasisitiza kinachotokea ni ukandamizaji wa demokrasia na wakitafuta fursa ya kusema wananyimwa kutokana na uchche wao