Vunja bei Offer: Samsung Galaxy S5 mpyaa bei chee

Vunja bei Offer: Samsung Galaxy S5 mpyaa bei chee

hah hah ha umenikumbusha mbali aysee...nokia jeneza...na motorola t.i.d
 
Mkuu nikija na 400K nasikilizwa?

Vipi huawei P7 inapatikana kwa bei gani?
upo chini kuongozi kwa A5 450 huwa ndio last price...anyway ukijipanga nitafute hatutashindwana .....

P7 sina nina huawei P8
 
upo chini kuongozi kwa s5 yenye 4G hiyo 450 huwa ndio last price...anyway ukijipanga nitafute hatutashindwana.....P7 sina nina huawei P8

Okay, ngoja nijiongeze nikutafute.

Hiyo P8 ni bei gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom