Huyo anaomba kujua namna ya kuipata kijanja,kama unafahamu inapopatikana mpatie location kijanaEbu jaribu na wewe mkuu uone kwanza sio unasikia sikia
Mimi nadhani hiyo ganzi ndio mwanzo wa matatizo,maana ninahisi mtumiaji atakapozidi kutumia ndo inaweza kufikia hatua hata kuua mishipa kutokana na hiyo ganzi.Wewe vuta picha unapokuwa umekufa ganzi kiungo chochote Cha mwili,mawasiliano huwa yanapotea kwa mda Sasa mfano hiyo hali ikizidi si unaweza kupooza?Sasa na hilo vumbi ukiliendekeza linaweza kupelekea dudu kupooza huko mbele ya safari.Sijawahi kutumia ila vumbi la congo kwa story zilizopo sio kama viagra ila linaleta ganzi mtu hafeel anything so anaweza kukaa tu ana ride. Haimfanyi mwanaume aerect, bali akishaerect inakuwa ngumu kufikia kileleni. Ndiyo maana kuna madai wanafunzi wa kigoma wanalipaka kwenye makalio wakichapwa shuleni wasihisi maumivu.
hahahaha eti ana tembea na kachupa kama bibi mlaa ugoroMtumiaji yeyote wa vumbi la Kongo madhara anayopata ni 1: kuathirika kisaikrojia ,hawezi piga game mpaka apake vumbi
2😛ia mtumiaji wa vumbi analazimika kutembea na kichupa chenye hilo vumbi mithili ya bibi mvuta ugoro na kichupa chake
Ndio mkuu yupo jamaa namjua ana kichupa cha vumbi muda wotehahahaha eti ana tembea na kachupa kama bibi mlaa ugoro
Daah wahuni wanapaka vumbi la kongo matakoni🙌🏽🙌🏽🙌🏽Sijawahi kutumia ila vumbi la congo kwa story zilizopo sio kama viagra ila linaleta ganzi mtu hafeel anything so anaweza kukaa tu ana ride. Haimfanyi mwanaume aerect, bali akishaerect inakuwa ngumu kufikia kileleni. Ndiyo maana kuna madai wanafunzi wa kigoma wanalipaka kwenye makalio wakichapwa shuleni wasihisi maumivu.
Sio kweli, vumbi la Congo linafanya kazi sehemu laini yenye mishipa mingi ya damu/fahamu.Ndiyo maana kuna madai wanafunzi wa kigoma wanalipaka kwenye makalio wakichapwa shuleni wasihisi maumivu.
Kama unahitaji njoo PMNikiwa mkoani nalipataje maana naona sikukuu zimekaribia na nina milupo kama 7 hivi
Kila kitu kina madhara, vingine ukitumia kupitiliza unapata madhara.Mimi nadhani hiyo ganzi ndio mwanzo wa matatizo,maana ninahisi mtumiaji atakapozidi kutumia ndo inaweza kufikia hatua hata kuua mishipa kutokana na hiyo ganzi.Wewe vuta picha unapokuwa umekufa ganzi kiungo chochote Cha mwili,mawasiliano huwa yanapotea kwa mda Sasa mfano hiyo hali ikizidi si unaweza kupooza?Sasa na hilo vumbi ukiliendekeza linaweza kupelekea dudu kupooza huko mbele ya safari.
Sio kweli, vumbi la Congo linafanya kazi ndani ya saa 24, hvy huwezi kupaka asubuhi then ukaendelea kuibeba.2😛ia mtumiaji wa vumbi analazimika kutembea na kichupa chenye hilo vumbi mithili ya bibi mvuta ugoro na kichupa chake