Vuai anena kuhusu Muungano

Vipi kuhusu maneno ya Nasor Moyo! Naye ni Nyerere?
Vipi kuhusu usaliti wa Maalimu Seif dhidi ya Jumbe, naye ni Nyerere.

Mtu akisema ukweli huyo si MZNZ kama ulivyomkana Mzee Moyo, eti hajawahi kuwa waziri kiongozi au Rais.
Jusa hakuwepo wakati wa Mapinduzi na wala hana uchungu wa ZNZ kwasababu ni Mwarabu, tumwamini huyo.

Leo mumefika mahali mnakana maneno ya Nasor Moyo, mumeshamaliza kumkana Ahmed, mnajua mnachokitaka ninyi WZNZ ? Mimi nadhani tatizo si muungano, tatizo ni kubwa sana hasa katika weledi, nbajeti ya elimu iangaliwe.

Jibuni hoja za Vuai siyo kumshambulia kwa matusi, WZNZ mbona tunasikia ustaarabu kitovu chake ni ZNZ, lakini haionekani kama ni hivyo! Acheni matusi shambulieni hoja.

Nakusaport kaka watu waache jazba. Lakini vijana wanatoa hoja ingawaje na jazba zimo ndani yake kutokana na kuchoshwa na propaganda za wahafidhina wa CCM.

Mimi naamini kwamba CCM inajua wazanzibar wa kawaida walio wengi, be it CCM, CUF, wasio na vyama na wa vyama vingine hawataki muungano. Kwanini nasema hivi: kama CCM ina confidence kwamba walio wengi wanautaka muungano, basi wangelikuwa wa kwanza kuasisi kura ya maoni ili kuwaadhiri wanaoupinga!. However, ukitaka kujua kwamba wanajua hilo fika, hata Kikwete alizuia hoja ya muungano kujadiliwa katika utafutaji wa maoni ya katiba mpya. Jiulize alikuwa akiogopa nini na katiba ni mali ya wananchi?
Kwa hiyo Vuai mwenyewe hakutoa hoja, analalamika tu. Angekuwa na hoja, angevunja hoja za wanaotaka muungano ufanyiwe marekebisho, sio kutisha watu wazima!
 
Muda mfupi baada ya mpinduzi ya Zanzibar ya 1964, kisiwa na Pemba kilijitenga kikaunda serikali iliyoitwa Peoples Republic of Pemba wakiwa na bendera hii:

Pitia historia hii ambayo ndio iliyobeba maana nzima ya uzi huu.

When Tanganyika and Zanzibar gained their independence in
December 9th, 1961 and December 10th, 1963 respectively each

had its own constitution the 1961 Independence Constitution of

Tanganyika
and the 1963 Constitution of the State of Zanzibar.
Zanzibar remained a sovereign state
under the Sultanate until
January 1964 when its government was overthrown and became

the Peoples Republic of Zanzibar.
Three months later, the
Presidents of the two countries, the Late Aman Abeid Karume and

the Late Julius Kambarage Nyerere signed the Articles of the

Union
to form the Union of the Republic of Tanganyika and the
Republic of the Peoples Republic of Zanzibar and gave birth to the

United Republic of Tanganyika and Zanzibar in 1964,
which later
on was re-named the United Republic of Tanzania.

And just as the treaty that brought the Commonwealth of the

Northern Mariana Islands into the United States allows the

Commonwealth considerable control over how it is treated, the Acts

of Union that joined Tanganyika and Zanzibar constrain Tanzania control over the island of Zanzibar.




 
Vipi kuhusu maneno ya Nasor Moyo! Naye ni Nyerere?
Vipi kuhusu usaliti wa Maalimu Seif dhidi ya Jumbe, naye ni Nyerere.

Mtu akisema ukweli huyo si MZNZ kama ulivyomkana Mzee Moyo, eti hajawahi kuwa waziri kiongozi au Rais.
Jusa hakuwepo wakati wa Mapinduzi na wala hana uchungu wa ZNZ kwasababu ni Mwarabu, tumwamini huyo.

Leo mumefika mahali mnakana maneno ya Nasor Moyo, mumeshamaliza kumkana Ahmed, mnajua mnachokitaka ninyi WZNZ ? Mimi nadhani tatizo si muungano, tatizo ni kubwa sana hasa katika weledi, nbajeti ya elimu iangaliwe.

Jibuni hoja za Vuai siyo kumshambulia kwa matusi, WZNZ mbona tunasikia ustaarabu kitovu chake ni ZNZ, lakini haionekani kama ni hivyo! Acheni matusi shambulieni hoja.

Vipi umeshapata kusikia Maneno ya MTANGANYIKA PEKEE kabisa mwenye UTHUBUTU wa kuuzungumzia Muungano wenu Kinaga ubaga tena Mbele ya chombo cha Kutunga Sharia na kunena hivi. Pitia ansard za Bunge lenu utaona haya.

``Mheshimiwa Spika, mapendekezo ya Rasimu ya Muswada hayakubaliki kwa sababu yanaweka mchakato wa Katiba Mpya kwenye huruma na/au fadhila ya Rais wa Zanzibar na siasa za Zanzibar kwa ujumla. Kwa mapendekezo haya, Rais wa Zanzibar asipokubaliana na jambo lolote linalohitaji ridhaa yake basi mchakato mzima utasimama au kusitishwa. Aidha, endapo katika kura ya maoni inayopendekezwa, theluthi mbili ya Wazanzibari hawatakubaliana na Katiba Mpya basi Katiba hiyo haitapitishwa hata kama inakubaliwa kwa kiasi kikubwa na wananchi wa Tanzania Bara.

Mustakbala wa taifa letu hauwezi kuwekwa tena rehani kwenye siasa za Zanzibar na kwenye matakwa ya Wazanzibari kwa kiasi hicho. Kuhusiana na jambo hili, Kambi Rasmi ya Upinzani inapendekeza kwamba Rais wa Zanzibar ahusishwe tu katika masuala ya kikatiba ambayo ni ya Muungano tu. Nje ya masuala hayo, Rais wa Zanzibar hana sababu yoyote ya kuhusishwa na mchakato wa kikatiba unaohusu mambo ya Tanzania Bara."

Aidha, wajumbe wa Tume ya Mapitio ya Katiba ambao watatoka Zanzibar wahusike tu katika mchakato wa masuala ya kikatiba ambayo ni ya Muungano tu. Vile vile, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inapendekeza wananchi wa Zanzibar washiriki katika kura ya maoni inayohusu mfumo mpya wa Muungano tu. Hii ndio kusema kwamba, kama vile ambavyo viongozi, wawakilishi na wananchi wa Tanzania Bara hawajashirikishwa katika mchakato wa kikatiba wa Zanzibar kwa sababu ulihusu mambo yasiyokuwa ya Muungano, vivyo hivyo viongozi, wawakilishi na wananchi wa Zanzibar wasishiriki katika mchakato wa kikatiba wa mambo yasiyokuwa ya kikatiba

 
Vipi kuhusu maneno ya Nasor Moyo! Naye ni Nyerere?
Vipi kuhusu usaliti wa Maalimu Seif dhidi ya Jumbe, naye ni Nyerere.

Mtu akisema ukweli huyo si MZNZ kama ulivyomkana Mzee Moyo, eti hajawahi kuwa waziri kiongozi au Rais.
Jusa hakuwepo wakati wa Mapinduzi na wala hana uchungu wa ZNZ kwasababu ni Mwarabu, tumwamini huyo.

Leo mumefika mahali mnakana maneno ya Nasor Moyo, mumeshamaliza kumkana Ahmed, mnajua mnachokitaka ninyi WZNZ ? Mimi nadhani tatizo si muungano, tatizo ni kubwa sana hasa katika weledi, nbajeti ya elimu iangaliwe.

Jibuni hoja za Vuai siyo kumshambulia kwa matusi, WZNZ mbona tunasikia ustaarabu kitovu chake ni ZNZ, lakini haionekani kama ni hivyo! Acheni matusi shambulieni hoja.

Vuai ni miongoni mwa vibaraka wenu ,hana mpya hivyo vyeo mlivyo mpa tunajua kwa malengo gani. Bwana mdogo yule anajifurahisha nafsi yake. Hata huyo Baba wenu wa Taifa akirudi tena duniani hawezi tena kuzuwia vugu vugu la ukombozi.
 
Pitia historia hii ambayo ndio iliyobeba maana nzima ya uzi huu.

When Tanganyika and Zanzibar gained their independence in
December 9th, 1961 and December 10th, 1963 respectively each

had its own constitution the 1961 Independence Constitution of

Tanganyika
and the 1963 Constitution of the State of Zanzibar.
Zanzibar remained a sovereign state
under the Sultanate until
January 1964 when its government was overthrown and became

the Peoples Republic of Zanzibar.
Three months later, the
Presidents of the two countries, the Late Aman Abeid Karume and

the Late Julius Kambarage Nyerere signed the Articles of the

Union
to form the Union of the Republic of Tanganyika and the
Republic of the Peoples Republic of Zanzibar and gave birth to the

United Republic of Tanganyika and Zanzibar in 1964,
which later
on was re-named the United Republic of Tanzania.

And just as the treaty that brought the Commonwealth of the

Northern Mariana Islands into the United States allows the

Commonwealth considerable control over how it is treated, the Acts

of Union that joined Tanganyika and Zanzibar constrain Tanzania control over the island of Zanzibar.





Wala sijajua unataka kuniambia nini kwa quote hiyo kwani inaelezea jambo ambalo limeandikwa mara nyingi sana vitabuni. Mimi niliandika ukweli kuwa maana ya mapinduzi ambayo yalifanyikia Unguja, kile kisiwa cha Pemba kiliamua kilijitenga,nikiwa na maana kuwa akili ya kujitenga kwa Pemba imekuwamo miongoni mwa wapemba kwa siku nyingi tu, na wala huijibu. Je unajua ukweli wa makubaliano ya Lancaster house yaliyoandika katiba hiyo unayosema? Je unajua mwanzo halisi wa ASP kutokukubaliana na ZNP, hasa wakati wa makubaliano ya Lancaster House hadi kufikia kuzaliwa kwa mawazo ya mapinduzi hayo?
 
Back
Top Bottom