yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Cheers! CheersNa mpira umekwishaaaaaaaaa Kagera 1- Simba O
Cheers! CheersNa mpira umekwishaaaaaaaaa Kagera 1- Simba O
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa Phiri alipewa mechi tatu na afikishe point 7,alishinda JKT Ruvu,leo amepoteza...kwa hiyo hata akishinda mechi ijayo bado hatafikisha point 7......Haya uongozi wa Simba tunasubiri utekelezaji wa kauli zenu.
Hongera dada kwa kushinda, sikujua kumbe wewe ni shabiki wa kagera sugar
nimekuuliza wewe
Phiri anafukuzwa jamani huruma!
Hahahaaaaa kaka acha hizo, ila pole sana ndio VPL imeanza hivyo.
Mimi Simba ikifungwa burudani sana.
Yanga damu hapa.
hafukuzwi mtu.
Acha wachapwe wakajipange