Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Tunashinda mbona mtani??
Na njaa au mnashinda nn mtani?, hyo sio mtani jembe
Tunashinda mbona mtani??
Mnyama bado hajaungurumaa huko?
mi naona boraZimepipigwa gonga one two one two hapa na Simba,Ndemla anabutua juuu
Kitu kinagonga chupi na kurudi ndani.
Mnyama bado hajaungurumaa huko?
daah na limejiangushauyu kipa wa kagera anapoteza muda hapa
Huku muda ukiyoyoma, kitu kinagonga chupi na kurudi ndani.
mi naona bora
Simba mkubali kufungwa ili mpunguze idadi ya Sare
kausha
tulia mkuu mpira bado huu alafu kumbuka jumapili unacheza na mbabe wako rambaramba
tulia mkuu mpira bado huu alafu kumbuka jumapili unacheza na mbabe wako rambaramba