VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

kufungwa yanga na simba baadhi wachezaji walitaka maximo atoke
Yaweza kuwa kweli maanake simba hii kuifunga yanga!!!!!
simba hawana timu ya kuifunga yanga mbona hata wakicheza na kariokoo ya lindi simba hawatoki....
 
huwa siamini ktk nguvu za giza lkn nikifikiria simba wanavyoifunga yanga nashindwa kufuta kabisa dhana hiyo

Mpira tunawazidi sana tu, huwa tunafungwa kimiujizamiujiza tu. Safari hii tunapelekea full kikosi kwenye makombe yao huko Zanzibar, tunataka tuwape kitu kikali hawajawahi kukipata.
 
huwa siamini ktk nguvu za giza lkn nikifikiria simba wanavyoifunga yanga nashindwa kufuta kabisa dhana hiyo

Ni Kweli Kabisa Hawa Simba Washirikina Wakubwa, Yaani Mchezaji Mmoja Wa Yanga Ni Sawa Na Wachezaji 5 Wa Simba Lakini Ndo Hivyo Tena Ukikutana Nao Ni Harufu Ya Mizizi Na Ubani Mwili Nzima.
 
Ni Kweli Kabisa Hawa Simba Washirikina Wakubwa, Yaani Mchezaji Mmoja Wa Yanga Ni Sawa Na Wachezaji 5 Wa Simba Lakini Ndo Hivyo Tena Ukikutana Nao Ni Harufu Ya Mizizi Na Ubani Mwili Nzima.

Acheni mawazo ya kishirikina,mkifungwa visingizio kibao.Mnafungwa kwasababu ya uzembe wa wachezaji wenu.Uchawi kama unasaidia basi hao Simba wangekuwa mabingwa wa dunia
 
Mkuu naona unaomba kesho isiingie teh teh boco haramu anakusubiri

Natamani hiyo kesho ifike faster ili tuoneshe uwezo wetu. Mnyama katuharibia sana CV kesho tunarudisha heshima yetu. Wahariri wa magazeti wahakikishe wanachapisha nakala za kutosha maana msimu wa kuuza magazeti yao umewadia.
 
Mtamfukuza tu, mdudu wa sare kafa kaibuka mdudu wa kufungwa. UKAWA wamesema Simba itapoteza mechi 6 mfululizo, bado 5 tu ndipo Aveva atatambua uwepo wao.
Duuuh........ndio wamesema hivyo?? Haiwezekani, zote zilizobaki tunashinda.
 
Natamani hiyo kesho ifike faster ili tuoneshe uwezo wetu. Mnyama katuharibia sana CV kesho tunarudisha heshima yetu. Wahariri wa magazeti wahakikishe wanachapisha nakala za kutosha maana msimu wa kuuza magazeti yao umewadia.
Nawaonea huruma kipigo mtakachokipata kutoka kwa vijana wa azam waliotoka kujifua huko Uganda.
 
Nawaonea huruma kipigo mtakachokipata kutoka kwa vijana wa azam waliotoka kujifua huko Uganda.

Huko Uganda walienda kutalii tu walicheza mechi 4, wakashinda 1 na kufungwa 3: Kwa hiyo katika mechi ya leo wana yamkini kushinda kwa 1/4 sawa na 25% na yamkini ya kufungwa kwa 3/4 sawa na 75%.

Hizi ni hesabu tu siyo lazima ziwe sawa. Msomi mmoja alisema 'All models are wrong though some are very useful'.
 
Back
Top Bottom