Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,522
- 14,192
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa Phiri alipewa mechi tatu na afikishe point 7,alishinda JKT Ruvu,leo amepoteza...kwa hiyo hata akishinda mechi ijayo bado hatafikisha point 7......Haya uongozi wa Simba tunasubiri utekelezaji wa kauli zenu.
walisema et baada ya hizo mechi tatu atoe taarifa tu.
Mambumbumbu fc