VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

Mwakani Simba itacheza mtani jembe ikitokea ligi daraja la kwanza.
 
kule mbele hakuna straika hisia zinaanza kuja kumuacha tambwe ilikuwa ni kosa kubwa
 
Ha ha hahaaaaaa safi sana, Kagera Sugar.
Hapo hakuna cha Serunkuma wala mbadala wake.
Simba mpoooo!!! Katavi kaka, mnaweza kwenye vibonanza tu?
 
Last edited by a moderator:
Mwanzo wa ligi wachambuzi wetu uchwara walikuwa wanalaumu kuachwa kwa Musoti, kuanzia leo wataanza kulaumu kuachwa kwa Tambwe.
 
Back
Top Bottom