VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

una utani wewe...subiri hasira za Tiba ziishie kwenu...wametumwa na mama wa escrow kuja kufanya kazi!!
Huyo mama wa escrow mwenyewe anaipenda Simba yaani ni shabiki wa kutupwa na ikitokea Simba imefungwa anaumia zaidi kuliko hata kuombwa kuwapisha ili wateue mwingine.
 
Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo
 
Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo
Mbona mapema sana!!!! na mtamkumbuka sana Tambwe mwaka huu subir aanze kutikisa nyavu za azam hapo jumapili
 
Baada ya kumfunga Yanga mechi nyingine hazina maana.
 
Kipindi cha pili naona timu zote zinashambuliana kwa kasi.
 
Chambueni SOKA linaloendelea dimbani...acheni maneno, wengi wanategemea hii Forum ili kujua kinachojili uwanjani..
 
Matokeo yakibaki hivi hivi kagera watakuwa wamenipa zawadi nzur sana hasa kwa siku hii maalum ya 'BOXING DAY'
 
simba wanampelekea dan serenkuma mipira ya juu wakati jamaa ni mfupi sn mipira haikai mbele
 
Back
Top Bottom