Alafu wewe nilijuaga tu utakuwa Ndala aka vigagula FC, kuna siku uliikana timu yako ukadai wewe ni Azam, ila kwa chuki ulionayo kwa Simba, wee Yanga! Nilikwambiaga mtz yeyote, utashabikia timu yeyote lakini ndani lazima kuna simba au yanga, ukakataa kabisa! Sio lazima mtu mtz aliyekulia tz aseme mi yanga, akiichukia Simba, bhaasi!! Ila pole mazee, naona mnyama ndo kaamka sasa watu hofu, ila usijali, Manu champions league msimu ujao hawakosi!